Frank I Ritte
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,003
- 1,350
Ip ni nzuri.Mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ip ni nzuri.Mbili
Sasa mtu hadi unaogopa kwa kipi hasa...🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓Hata askari Polisi hana habari na wewe.
Kuna mpya na ile ya zamani.Ip ni nzuri.
Atakua MEKEGAJibu sahihi ni lipi sasa kati ya hayo?
Dooh!!!Niko hapa Toka 2016 ..mwaka 2017 kabla sijaama Hilo jiji la hovyo Dar nikiwa kwenye Dala Dala niliona mshua Mmoja mtu mzima yupo Kwa app anaperuzi alivyojua nmeona akatoka chap ..
Kuna mtu alikujua..Asee, hakuna anayependa kujulikana. Mimi huwa naanzisha akaunti mpya tu wala isizidi miaka 2. Naweka details mpya zote [emoji16][emoji16]
All the way back in 2012.
Mkuu iyo avatar picha Yako inanogopesha kwasababu ya iyo movie ya mazombie. Iyo movie sitaki tena kuangalia na sikuimaliza. Hadi leo naogopaga kulala peke yangu usikuNilishangaa sana mkuu
Majibu wanayo wale waliokuwa wanabishana, 7bu waliyekua wana mzungumzia alikuwepo pale pale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Jibu sahihi ni lipi sasa kati ya hayo?
Na unavyosumbua kule kwa jukwaa la siasa mdogo anguMimi siogop kujulikana ila naogopa kukutana na watu wa ovyo
Hata mimi situmii app ila nataka kuwa nayo tatizo nimedonload moja ya hiyo app naona haiko vizuri kama ambavyo natumia bila app, ila naona hii ya bila app iko vizuri, ndio nataka kuidonload nifanyeje?Kuna mpya na ile ya zamani.
Nzuri ni mpya
Japo mi situmii app
Sio GAMEKE?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha JF imekua kama Bangi sio? Unaweza kukuta Waziri mmoja mpiga kelele Bungeni ndio anaongeaga ujinga humu.Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Hata mimi sijui[emoji849][emoji849]Sio GAMEKE?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MhNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?