Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Zipo play store piaNifanyeje ili nizipate app zote za JamiiForums.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo play store piaNifanyeje ili nizipate app zote za JamiiForums.
Unamtaka??!!!!!kumbe bomba pisi mwenye thigh gap yake😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu semaa kweliiii??kumbe bomba pisi mwenye thigh gap yake[emoji23]
Sasa huoni kwamba hao Colleagues wameshakufahamu ?Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Tulia weweeMwanaume unaogopa kulala mwenyewe usiku
mweupeeeeee😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu semaa kweliiii??
Nasikia unaweza niletea Rushaina... kweli??Eeeh boss kubwaa nambieee, unataka mrembo yupii nikusogezee had mlangonii, mie ndo Dalali km kuwadi mwenye connection zake mjinii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
maswali gani haya mzee wangu😅Unamtaka??!!!!!
Hii ya bila app nilikuwa na app yake sasa shemeji kuna namna aliingia sijajua aliifuta ama vipi na ni nzuri kweli.Kuna notification ya app hapo chini..
Au wee huwa hupati hiyo notification
Ila hii ya bila app ipo poa zaidi.
Ishu za picha hazisumbui.
Basi huku unafanyaga mambo ya ajabu ambayo yanatishia amani..Security measures tu mkuu. Holding one id kwa muda mrefu nachukulia sio salama sana.
Sitaki nije nihusishwe na lolote lile. Mambo ya kuwa charged makosa elfu 1,000 [emoji3][emoji3] ya kusingiziwa kuanzia 2012 hapana.
🤓🤓🤓🤓😜😜😜 Hapana nauliza tuumaswali gani haya mzee wangu😅
Play store nikiitafuta siioni inakuja ile mpya.Zipo play store pia
simtaki😂🤓🤓🤓🤓😜😜😜 Hapana nauliza tuu
Mi Nina Miaka 12 nilishawahi kumwona mmoja tu,Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Yaani hapo kwa screen yako chini kabisa kuna kuwa na notification.. kila inapoingia ya kukutaka kuiweka app on hom screenHii ya bila app nilikuwa na app yake sasa shemeji kuna namna aliingia sijajua aliifuta ama vipi na ni nzuri kweli.
Ulemavu huo 🤓🤓🤓🤓🤓simtaki😂
Hapo ndo sijajua ila pia kuna uzi humu about hizo app mkuuPlay store nikiitafuta siioni inakuja ile mpya.
🤓🤓🤓🤓🤓 Bosi mkuda mkudaMimi nilikutana na mdau humuhumu now ni boss wangu kulalake.