Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
kuna wastafu wengi sana humuSawa ila mjukuu hapana..
🤓🤓🤓🤓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna wastafu wengi sana humuSawa ila mjukuu hapana..
🤓🤓🤓🤓
Mimi siogop sijawai ogopa mtu ishu nikwamba sipendi kutishwa yaani ukinitishia tu umeondoa amani yangu so hap ugomvi ndio unaanziaNa wewe ubaya ujui kujificha...
Kijana be care 🤓🤓🤓
ni sawaKama Mabishano ni Ya hoja zenye msingi pasipo kukashifiana na matusi, ni sawa kabisa.
Kuna Muda wazee wanapaswa kusikiliza mawazo mapya ya vijana wayahusishe na ya kwao kwa manufaa zaidi.
Utatongozaje watu usiokua na uhakika na mambo yafuatayo:Hii jf ni cult flan ivi..au kaji secret society flan ivi humu wamo dada zako ila huwezi jua nsiomaana huwa sitongozi ovyoovyo humu
Daah!!! Okay [emoji106]Ni mwalimu tena mvaa mibwanga
Vp, kwa jinsi ulivyoona huyo mpwayungu ombi lake la kuwa mwanamke linaelekea kukubaliwa?!!!Miye nishakutana na rikiboy na Mpwayungu Village
Ndiyo,ahaaaaaVp, kwa jinsi ulivyoona huyo mpwayungu ombi lake la kuwa mwanamke linaelekea kukubaliwa?!!!
kweli aisee tunaopost vitu vya hovyo humu lazima tujiogope😂
mimi kataa ndoa, mwanachama wa chaputa siwezi vujisha id yang
Sio siri PM ni Dronedrake mtupuCjui kwa nini kila nikimwangalia waziri mkuu Kassim Majaliwa huwa najisemea kimoyoni Dronedrake huyu hapa.
🤓🤓🤓 Hao wastaafu tuna shinda naokuna wastafu wengi sana humu
😳😳😳😂😂😂😂Ndiyo,ahaaaaa
wacha nikwambie jambo moja mimi nawafahamu watu zaidi ya 30 tunautumia huu mtandao lakini ID hatujuani ila kwa majukumu tulio nayo humu tunajuana nikitizama tuh maudhui yao🤓🤓🤓 Hao wastaafu tuna shinda nao
Mbona hatuwaoni wakitumia haya madude au wanajificha
Ahahahahah hayo maneno unaongea humu..Mimi siogop sijawai ogopa mtu ishu nikwamba sipendi kutishwa yaani ukinitishia tu umeondoa amani yangu so hap ugomvi ndio unaanzia
🤓🤓🤓🤓🤓 Bado una dhania tuu mkuuwacha nikwambie jambo moja mimi nawafahamu watu zaidi ya 30 tunautumia huu mtandao lakini ID hatujuani ila kwa majukumu tulio nayo humu tunajuana nikitizama tuh maudhui yao
Huyu mimi kabisa...🤓😂😂Watu huwa tu wananishangaa niko busy na simu..wakichungulia wanaona Jamii Forum..wengi wanajua JF ni watoaji habari tu..
humu kujuana ni mwiko🤓🤓🤓🤓🤓 Bado una dhania tuu mkuu
Hata wewe tukikuuliza unatumia utakanaNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?