Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Hii jf ni cult flan ivi..au kaji secret society flan ivi humu wamo dada zako ila huwezi jua nsiomaana huwa sitongozi ovyoovyo humu
Utatongozaje watu usiokua na uhakika na mambo yafuatayo:

Jinsia zao
Busara zao
Muonekano wao wa nje ( ingawa tunasema sura sio Roho ila muonekano una mata sana)
Hali zao za kimaisha/kiuchumi (hii itakusaidia kuendana na hali yako ya kiuchumi uliyonayo hasa kwa wanaume. )
Viwango vyao vya Elimu (Akili kiukumla)
Dini na madhehebu yao (hapa unaweza tongoza mchawi ukarogwa [emoji3][emoji3])
Nakadhalika nakadhalika, kwa maana vigezo ni Vingi.

Vijana wa hovyo watakwambia unatongozaje mwanamke na huna uhakika kama ana tacle![emoji3][emoji3][emoji3] Wanakwambia sura hata mbuzi anayo. Tabia atafundishwa. [emoji3][emoji3]
 
Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.

Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.

Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Hata wewe tukikuuliza unatumia utakana
 
Back
Top Bottom