Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Alwatan wewe![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nje ya hapaa?
Ila nishawahi kukuta watu wanaiongelea hii I'd yangu, nkajikaushaa nawachoraa tyuuh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alwatan wewe![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nje ya hapaa?
Ila nishawahi kukuta watu wanaiongelea hii I'd yangu, nkajikaushaa nawachoraa tyuuh.
Mimi nimeoa ila wenzangu nahisigi hawajaoa kweliHalafu kataa ndoa nasikia wote wameoa
No yuko poa Sana, pia tunafahamiana ndani na nje ya jeiefu.🤓🤓🤓🤓🤓 Bosi mkuda mkuda
Ni mwalimu tena mvaa mibwangaAise hivi nikuulize kitu mkuu kama umewahi kukutana na mpwayungu ni mwalimu au??
Daaah ila yataka moyo..No yuko poa Sana, pia tunafahamiana ndani na nje ya jeiefu.
Yaaan dada ki umri au dada ukimaanishaHii jf ni cult flan ivi..au kaji secret society flan ivi humu wamo dada zako ila huwezi jua nsiomaana huwa sitongozi ovyoovyo humu
App na web. Kwangu picha hazifinguki katika app, ila web naweza kuziona.Mkuu hivi JamiiForums ina app ngapi? maana kwenye simu yangu kuna app mbili na muonekano kati ya ya hizo ni tofuti na nyingine.
NamaanishaYaaan dada ki umri au dada ukimaanisha
Ahahahha wakinijua nimekwishaNa unavyosumbua kule kwa jukwaa la siasa mdogo angu
🤓🤓🤓🤓🤓🤓 Kataa ndoa ni kundi la vijana walio OA ila hawataki wenzao wapate ila raha ya ndoa 🤓🤓🤓Mimi nimeoa ila wenzangu nahisigi hawajaoa kweli
🤓🤓🤓🤓🤓🤓 Daaah..huu mtandao unaweza kubishana na wajukuu zako pasipo kutarajia
Na wewe ubaya ujui kujificha...Ahahahha wakinijua nimekwisha
Dada angu me awepo humu na nisijue kweli...Namaanisha
ndio ukweli huo unafikiri watu wanaotumia huu mtandao wanasema.🤓🤓🤓🤓🤓🤓 Daaah..
Ila hakuna kitu ka hicho mkuu
Sawa ila mjukuu hapana..ndio ukweli huo unafikiri watu wanaotumia huu mtandao wanasema.
Kama Mabishano ni Ya hoja zenye msingi pasipo kukashifiana na matusi, ni sawa kabisa.huu mtandao unaweza kubishana na wajukuu zako pasipo kutarajia