Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Jf ukiuliziq watu ni kama hakuna wanachokijua ila wengi wanaitumia
Kwasababu mtu anayejulikana kuwa anatumia jamiiforums ni MHAINIKwanini sasa
Humu waliokuwa jukwaa la siasa wala sio wanasiasa, wanasiasa wenyewe wako MMU hawataki stress washajitafuta wamejipata 🤣🤣🤣 Countrywide njoo umuone diwani anashinda MMUFake ID zinasaidia sana mimi humu kuna ndugu wengi na hatujuani, kuna diwani mmoja wa CCM nilinasa ID yake ye yupo jukwaa la mahusiano tu siasa hayupo
Badili kma mimi tuSoon ntabadilisha ID mana mambo yangu yote yatakuwa hadharani...mana kwa kusema watu na utajiri nilionao wata niua bure mtaani
😂😂😂Kwasababu mtu anayejulikana kuwa anatumia jamiiforums ni MHAINI
Hii na mm naomba nicheke[emoji23]Humu waliokuwa jukwaa la siasa wala sio wanasiasa, wanasiasa wenyewe wako MMU hawataki stress washajitafuta wamejipata [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Countrywide njoo umuone diwani anashinda MMU
Tena wewe ndo ufanye fasta! Manake umeshajitangaza kwa kuweka picha yako kule kati Abby UladuSoon ntabadilisha ID mana mambo yangu yote yatakuwa hadharani...mana kwa kusema watu na utajiri nilionao wata niua bure mtaani
Umewahi kuwaona majini?Ndiyo members wa JF!Ngumu kuwaona mpaka waweke utambulisho wao wa kweli au waamue tu uwafahamu.Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Njoo uchekee kitchen unisaidie kunisogezea vitunguu darling 😂😂😂Hii na mm naomba nicheke[emoji23]
Sababu uliipania hii jpili?[emoji23]Njoo uchekee kitchen unisaidie kunisogezea vitunguu darling [emoji23][emoji23][emoji23]
😒😏😏😏 kwendraaaaaaSababu uliipania hii jpili?[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji19][emoji57][emoji57][emoji57] kwendraaaaaa
Hata mimi sipendi mwingine ajue kama natumia JF na mtu akiniuliza lazima niikane.Niko hapa Toka 2016 ..mwaka 2017 kabla sijaama Hilo jiji la hovyo Dar nikiwa kwenye Dala Dala niliona mshua Mmoja mtu mzima yupo Kwa app anaperuzi alivyojua nmeona akatoka chap ..