Mwaka wa kumi huu au zaidi umeajiriwa (unatumwa tumwa tu); je, ni kitu gani kinakufanya usijiajiri?

Mwaka wa kumi huu au zaidi umeajiriwa (unatumwa tumwa tu); je, ni kitu gani kinakufanya usijiajiri?

Forbes ishacover hadi kina Elizabeth Holmes, Charlie Javice, Sam Bankman etc. unajua walipo?

CEOs wa apple, Google, Microsoft ni waajiriwa nenda kawaambie ajira ni mbaya na uliza walikua Hapo miaka mingapi Kabla ya kuwa CEOs. BTW nao washakua on Forbes
Sawa, ndio maana nimeuliza uko kwenye ajira zaidi ya miaka 15 kwa nini unashindwa kujiajiri? Ata kuanzisha kampuni ya uchimbaji mdogo wa mchanga?
 
Nakubaliana na hoja yako, basi wa namna hiyo, elimu haijamfanya awe huru; bali elimu inamfanya awe wa kutumwa tumwa tu
Kutumwa hakuepukiki muhimu lengo litimie
Kuna mwingine hajali kuhusu kutumwa muhimu kazi yake inampa mkwanja anaoutaka...

Mwingine hajali kuhusu kutumwa lakini kqzi yake haimpi mkwanja anaoutaka, huyu better ajiajiri.

Muhimu ni wewe kujua unataka nini, mambo ya wingi yanachanganya bora kutumia umoja sometimes.
 
Chanzo cha viwanda vingi kwa wenzetu ni viongozi wao kuwa na mipango ya muda mrefu. Sisi viongozi wanawaza kuiba hela na kuiba kura.

Ukiona mtz ana kiwanda, historia yake huwa haijanyooka, kuna konakona nyingi pamoja na connection 🤣
Tatizo ni nini, sera au nini? Kwa sababu anayejenga kiwanda ni mtu yeyote awe wa ndani au nje?
 
Back
Top Bottom