Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Muhimu kujitathmini, je elimu uliyoipata pamoja na ajira uliyonayo, haikutaki wewe ujiajiri?Kumekuchaaa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu kujitathmini, je elimu uliyoipata pamoja na ajira uliyonayo, haikutaki wewe ujiajiri?Kumekuchaaa!!!
Kila Tajiri bongo anakonakona na connection na wakubwa 🤣🤣🤣Mbona wapo waliojenga viwanda vya mabati n.k, hawa wanatoka sayari ya wapi?
Kwa mtazamo wako, kwa nini hutaki kujiajiri?Kutumwa hakuepukiki muhimu lengo litimie
Kuna mwingine hajali kuhusu kutumwa muhimu kazi yake inampa mkwanja anaoutaka...
Mwingine hajali kuhusu kutumwa lakini kqzi yake haimpi mkwanja anaoutaka, huyu better ajiajiri.
Muhimu ni wewe kujua unataka nini, mambo ya wingi yanachanganya bora kutumia umoja sometimes.
Je wakubwa wamejiajiri au wameajiriwa?Kila Tajiri bongo anakonakona na connection na wakubwa 🤣🤣🤣
Makusudi mazima ya Elimu tunayoipata huko vyuoni ni Maandalizi ya kuajiriwa ....ndiyo Elimu ilivyopangwa.....(Kujiajiri ni ujuzi Kwa bahati mbaya haupatikani vyuoni)Sasa kutokana na ugumu wa upatikanaji wa ajira wahitimu wanatafuta mbadala yaani waitumie Elimu hiyo kujiajiri......Tunaamini elimu tunayoipata huko vyuoni na mashuleni, inatupa uhuru wa kufanya maamuzi sahihi katika uzalishaji mali pamoja na kujitegemea.
Tulitegemea ujuzi na elimu ulioipata huko duniani n.k iwe chachu ya wewe kujijenga na kuanzisha na kumiliki kampuni, taasisi, au kiwanda ili pia iweze kutoa ajira kwa wengine.
Mtaji kwako sio tatizo, kwa sababu umeshaajiriwa kwa miaka mingi na una sifa zote za kukopa; Swali, kwanini unashindwa kujiajiri?
Tatizo ni nini?
KLF amejifunzia wapi aina za mchanga/ udongo? Akienda kulima mfano analima nini?Sawa, ndio maana nimeuliza uko kwenye ajira zaidi ya miaka 15 kwa nini unashindwa kujiajiri? Ata kuanzisha kampuni ya uchimbaji mdogo wa mchanga?
Ukisikia "wakubwa" ni watu wenye cheo kikubwa ndani ya serikali. Sanasana wanasiasa na viongozi wengine mbalimbali wa chama na serikali.Je wakubwa wamejiajiri au wameajiriwa?
Wapo wanaopata mishahara mikubwa, kwa nini wasitumie hizo kama mtaji kwa kuanzisha taasisi au kampuni zao na kujiajiri?
Kwa hoja hii, elimu ndio inatufanya tuwe zoba; je unatushaurije ili tuweze kumiliki viwanda vingi kama vya sukari, chumvi, ndege, vifaru, kuchimba mafuta n.k tusiwapeleke watu shule?Makusudi mazima ya Elimu tunayoipata huko vyuoni ni Maandalizi ya kuajiriwa ....ndiyo Elimu ilivyopangwa.....Sasa kutokana na ugumu wa upatikanaji wa ajira wahitimu wanatafuta mbadala yaani waitumie Elimu hiyo kujiajiri......
Kama kweli ulitaka kujiajiri Wala usingekwenda huko chuoni.....
Sijui kama naeleweka,.....kwanini naongea hivyo??
Experience yangu,nimesoma na jamaa mmoja ametoka kwenye familia ya waarabu,kazi Yao kubwa ni mabasi na maduka......
Jamaa tulivyofika form six combi zimekaa vizuri kafaulu vizuri sana......
Kwa mshangao jamaa akaniambia familia imekataa asiendelee kusoma kwani atapoteza Muda na badala yake aanzishe duka na basi moja halafu apewe mke haraka sana....
Baba yake ndiye atamfundisha kuendesha biashara kama alivyofundishwa na Babu yake......
Nikamaliza chuo ,wakati natafuta ajira yeye ni tajiri na anaajiri watu( hataki walioenda chuo kwenye biashara zake).....
.Anyway ngoja niishie hapa nisome na experience za wengine....
Vitu ni vingi vya kufanya, muhimu ni kujua elimu uliyopata, je inakupa uhuru wa kujitegemea au wa kutumwa tumwaKLF amejifunzia wapi aina za mchanga/ udongo? Akienda kulima mfano analima nini?
Uchumi ni mfumo uliotengenezwa na binadamu, una vigezo na kanuniWote wakiwa na mtazamo huu, unategemea nani akujengee kiwanda cha sukari, magari, sindano rungu n.k
Na vyeo huwa ni mzunguko, leo huyu kesho yule; tatizo ni nini?Ukisikia "wakubwa" ni watu wenye cheo kikubwa ndani ya serikali. Sanasana wanasiasa na viongozi wengine mbalimbali wa chama na serikali.
Kwa hiyo unaunga hoja ya kuwa cheap labour?Uchumi ni mfumo uliotengenezwa na binadamu, una vigezo na kanuni
Kujiajiri kunaweza kukawa kuzuri lakini sote tunaelewa walioajiri na walioajiriwa wana majukumu yao.
Sasa basi inawezekana kila mtu kujiajiri(yaani kla mtu ana biashara, hakuna waajiriwa) na bado uchumi ukasimama?
Kwa nini hatutendi, au elimu/ujuzi tunaoupata sio sahihi?Always talk is CHEAP
Kama kwenu sio matajiri basi PATA Elimu ukatumikishwe.......Kwa hoja hii, elimu ndio inatufanya tuwe zoba; je unatushaurije ili tuweze kumiliki viwanda vingi kama vya sukari, chumvi, ndege, vifaru, kuchimba mafuta n.k tusiwapeleke watu shule?
Unadhani kila aliyeajiriwa ni cheap labour?Kwa hiyo unaunga hoja ya kuwa cheap labour?
Akili ndogo sana 🤣Na vyeo huwa ni mzunguko, leo huyu kesho yule; tatizo ni nini?
Je tukienda kupata elimu ughaibuni, inaweza ikatusaidia katika kujiajiri?Kwa mfumo wa Elimu kibongo bongo unaweza.kuwa na mtaji ukashindwa kujiajiri ,.Wachache sana ni Risk taker.
Ni rahisi kukopa kuendeleza biashara kuliko kujilipua kwa kukopa kisha uanzishe biashara
Inategemea na maslai kaajiriwa CEO wa Voda Mimi ni nani?Tunaamini elimu tunayoipata huko vyuoni na mashuleni, inatupa uhuru wa kufanya maamuzi sahihi katika uzalishaji mali pamoja na kujitegemea.
Tulitegemea ujuzi na elimu ulioipata huko duniani n.k iwe chachu ya wewe kujijenga na kuanzisha na kumiliki kampuni, taasisi, au kiwanda ili pia iweze kutoa ajira kwa wengine.
Mtaji kwako sio tatizo, kwa sababu umeshaajiriwa kwa miaka mingi na una sifa zote za kukopa; Swali, kwanini unashindwa kujiajiri?
Tatizo ni nini?