Nina rafiki yangu ni Lecture, ana Salary iliyoshiba, Anafundisha vyuo vi 3..
Huyu jamaaa Suala la biashara ni mtambuka,
Nimefahamiana naye miaka 14, Sijawahi msikia akizungumzia biashara, mpka siku nikamuuliza hivi wewe hata kimoyo moyo ushawaza kufanya biashara..
Akacheka akasema achana na hayo mambo, Ikaisha hio,
yaani hana hio hobby, Sio kwasababu anamshara mzuri,
Kuanzia kipindi ana hustle na Ajira anakamshahara kakubembeleza kafika mwisho wa mwezi hataki hizo mambo..
Akapata mke mpenda biashara, Mke kambembeleza wee ampe mtaji, Jamaa kagoma Kamtafutia Shavu sehmu flani hivi anapiga kazi.
Biashara sio kwa kila mtu.