Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Sawa, ndio maana nimeuliza uko kwenye ajira zaidi ya miaka 15 kwa nini unashindwa kujiajiri? Ata kuanzisha kampuni ya uchimbaji mdogo wa mchanga?Forbes ishacover hadi kina Elizabeth Holmes, Charlie Javice, Sam Bankman etc. unajua walipo?
CEOs wa apple, Google, Microsoft ni waajiriwa nenda kawaambie ajira ni mbaya na uliza walikua Hapo miaka mingapi Kabla ya kuwa CEOs. BTW nao washakua on Forbes
Ngoja waje, hakuna kushabikia timu leo 😀
Kwa mantiki hii, tuwape heshima zao waliojiajiriSoma mstari wako wa kwanza wa hii comment yako, hilo ndio jibu langu
Hawataki kuumiza kichwa na mada fikirishiIngekuwa uzi wa masuala ya michezo, mapenzi , nguvu za kiume, K, tako kubwa, singo maza. Wadau wangemiminika vya kutosha 🤣
Kuna mtu mwingine anaweza kukopa ata milioni 200+ lakini hajajiajiri, huyu unamuelezeaje?Kujiajiri sio suala la kukurupuka kuna factors nyingi kama uelewa wa hiyo biashara, mtaji, mipango sabiti, support, bahati.
SIo wote wenye hivyo vitu
Mwingine ana mipango ila mtaji hana.
Hapana mkuu, nakupinga kabisa tena nakataa katakata. Watu wapo tayari kuumiza kichwa, ila ni kile kichwa kidogo 🤣Hawataki kuumiza kichwa na mada fikirishi
Kuna mtu mwingine anaweza kukopa ata milioni 200+ lakini hajajiajiri, huyu unamuelezeaje?
Sasa wenzetu wenye viwanda vingi, wamewezaje?Hapana mkuu, nakupinga kabisa tena nakataa katakata. Watu wapo tayari kuumiza kichwa, ila ni kile kichwa kidogo 🤣
Nakubaliana na hoja yako, basi wa namna hiyo, elimu haijamfanya awe huru; bali elimu inamfanya awe wa kutumwa tumwa tuKujiajiri sio hobby ya kila mtu....
Inaweza kuwa sababu, Je elimu tunayoipata ndio inayotupa uoga?Uoga tu
Chanzo cha viwanda vingi kwa wenzetu ni viongozi wao kuwa na mipango ya muda mrefu. Sisi viongozi wanawaza kuiba hela na kuiba kura.Sasa wenzetu wenye viwanda vingi, wamewezaje?
Kutumwa hakuepukiki muhimu lengo litimieNakubaliana na hoja yako, basi wa namna hiyo, elimu haijamfanya awe huru; bali elimu inamfanya awe wa kutumwa tumwa tu
Tatizo ni nini, sera au nini? Kwa sababu anayejenga kiwanda ni mtu yeyote awe wa ndani au nje?Chanzo cha viwanda vingi kwa wenzetu ni viongozi wao kuwa na mipango ya muda mrefu. Sisi viongozi wanawaza kuiba hela na kuiba kura.
Ukiona mtz ana kiwanda, historia yake huwa haijanyooka, kuna konakona nyingi pamoja na connection 🤣
We zombi, haujui?Tatizo ni nini, sera au nini? Kwa sababu anayejenga kiwanda ni mtu yeyote awe wa ndani au nje?
Wapo wanaopata mishahara mikubwa, kwa nini wasitumie hizo kama mtaji kwa kuanzisha taasisi au kampuni zao na kujiajiri?Kujiajiri ni Muhimu Sana , Ila usitegemee MTU ambaye mshahara wake haikutani aweze kufika hatua ya kuwekeza hela katika biashara ni ngumu mno.
Mbona wapo waliojenga viwanda vya mabati n.k, hawa wanatoka sayari ya wapi?We zombi, haujui?