Mwaka wa kumi huu au zaidi umeajiriwa (unatumwa tumwa tu); je, ni kitu gani kinakufanya usijiajiri?

Kinachoamuwa maisha yetu ni maono ya mtu. Huwezi kujiajiri ukubwani kama hujawahi kuwaza kufanya hivyo ukiwa katika umri wa chini ya miaka 20.
Kama hujui unachotaka, hutapata unachokitafuta.
Niliamuwa kuacha kazi na kujiajiri ili kutimiza maono yangu toka nikiwa mtoto. Nilichukia sana maisha ya umaskini na njia pekee niliona itanisaidia ni kujiajiri tu.
Nilipita kwenye ajira ili nione jinsi system inavyofanya kazi.
Mwajiriwa mwenye kipato kizuri kwa asilimia kubwa lazima awe ameiba
 
Hao wanaojiajiri wamesomea wapi?
Ukweli watu wengi hawana maono toka utotoni bali tunakimbazana kwa kusoma kozi ambazo ni rahisi kuajiriwa.
Tuna system mbovu kutoka kwenye familia zetu.
 
Hao wanaojiajiri wamesomea wapi?
Ukweli watu wengi hawana maono toka utotoni bali tunakimbazana kwa kusoma kozi ambazo ni rahisi kuajiriwa.
Tuna system mbovu kutoka kwenye familia zetu.
Uko sahihi, kwa sababu familia zilizotoka kwenye biashara na kupata elimu uwa wanajikita pia kwenye biashara
 

I couldn't agree more.
 
Kwamba watu wote kwenye economy hii wawe self employed, mfano Mbeya yote wawe wakulima, no need of teachers, doctors, nurses, engineers etc, tambua kuwa services are intangible goods are included in measuring national income, hata hizo capitalist countries still there's a large number of people who are employed in different sectors of the economy [emoji3]
 
Unatusaidiaje katika kujenga kiwanda cha sukari, kuchimba mafuta n.k?
 
Leo nimetoka intervierw,ya kufundisha tu nimekutana na mtu anaexperince ya 8 years mmh nikasema kweli life kitaa sio
Inawezekana alikopata elimu, walikula ada zake badala ya kumjengea uwezo wa kujiajiri
 
Wee fala nini unajua utamu wa kuajiriwa tena serikalini..?
No pressure full job security na uhakika wa mshahara na allowance za hapa na pale...
Kujiajiri ni kipaji kama ilivyo football au mziki
 
Wote tukijiajiri nani ataajiriwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…