Kinachoamuwa maisha yetu ni maono ya mtu. Huwezi kujiajiri ukubwani kama hujawahi kuwaza kufanya hivyo ukiwa katika umri wa chini ya miaka 20.
Kama hujui unachotaka, hutapata unachokitafuta.
Niliamuwa kuacha kazi na kujiajiri ili kutimiza maono yangu toka nikiwa mtoto. Nilichukia sana maisha ya umaskini na njia pekee niliona itanisaidia ni kujiajiri tu.
Nilipita kwenye ajira ili nione jinsi system inavyofanya kazi.
Mwajiriwa mwenye kipato kizuri kwa asilimia kubwa lazima awe ameiba
Kama hujui unachotaka, hutapata unachokitafuta.
Niliamuwa kuacha kazi na kujiajiri ili kutimiza maono yangu toka nikiwa mtoto. Nilichukia sana maisha ya umaskini na njia pekee niliona itanisaidia ni kujiajiri tu.
Nilipita kwenye ajira ili nione jinsi system inavyofanya kazi.
Mwajiriwa mwenye kipato kizuri kwa asilimia kubwa lazima awe ameiba