Kuacha kazi na kuendelea kupata fedha, nadhani unazungumzia kitu tofauti kabisa na kujiajiri.
Unachozungumzia wewe ni wealth portfolio ya mtu mmoja mmoja, Elon musk, Mark, Tim cok au Ma CEO au wafanyakazi wa kampuni kubwa, si tu wanakuwa ni Wafanyakazi wa ngazi ya C.E.O, pia wengine ni founders au share holders. Kwa hiyo hata wakiacha kazi wataendelea kupata dividends za faida.
Kuwa na hisa ni jambo ambalo hata muajiriwa wa kawaida anaweza kulifanya, na makampuni mengi Marekani huwa Wafanyakazi wana option ya kununua hisa
Watu wangapi wanaojiajiri kampuni zao hufika huko?
Hao wote hapo juu kitu wasiokuwa nacho ni uvivu wala desire ya kula bila jasho