Kwanza kabisa ieleweke mkoa wa Mbeya kuna makabila mengine kama wasafwa, wandali, wamalila, n.k. Ila wageni wengi huwa tumekariri wanyakyusa sababu ndio main tribe kwa kigezo cha umaarufu, mifano mingine Ruvuma main tribe ni wangoni ila kuna wamatengo, Mara main tribe ni Wakurya ila kuna wajita, Njombe main tribe ni wakinga ila kuna wabena, n.k.
Wanyakyusa kwa haraka haraka naweza kusema ndio kabila linaloongoza kwa wasomi wengi, viongozi, watu kwenye system, n.k. Kwa Tanzania ukiigawanya mara mbili ile mikoa ya chini.
Inshort wanyakyusa kwa uzoefu wangu ni watu wakarimu zaidi tena kwa vitendo na hakuna maneno ama kutangazwa ukishasaidiwa.
Nimeshakwenda ofisi flani nikiwa mgeni wa mifumo ila kuna mbaba wa kinyaki alinisaidia a to z utadhani mimi mtoto wake, nilishangaa sana.
Suala la msosi wa wanyakyusa wala si taabu, utakula vizuri tu labda wasipike ubwabwa wapike ndizi
Ni wacha Mungu hasa kwa upande wa wanawake, Mbeya ni mkoa unaoongoza kwa makanisa mengi mitaa ya Nzovwe kunaitwa Nigeria sababu kuna nyomi la makanisa, wingi huu umeweza kuwafanya wanyakyusa kuwa mstari wa mbele kutoa waimba gospel na wachungaji wengi katika ngazi ya taifa (japo kuna wimbi kubwa limenza kutanda la wachungaji matapeli wanaonenepea sadaka).
Wanyakyusa wanathamini sana elimu kwa lengo mtoto aje apate ajira, Mbeya ni sehemu ya pili hapa Tanzania kwa kuwa na vyuo vingi nyuma ya Dsm. Ni Kabila la nne kwa wasomi nyuma ya wahaya, wachaga na wasukuma (kuna wasukuma milioni 16 wana asilimia ndogo ya wasomi ndani ya jamii yao lakini hio asilimia ni idadi kubwa kitaifa)
MAPUNGUFU YAO...
Rundo la ndugu.. Kwa kawaida ndugu inabidi wawe wale mliozaliwa nao na wale wa upande wa wazazi kina mjomba, shangazi, ma mdogo, ba mkubwa, Pamoja na watoto wao, kwa wanyaki wamevuka, hata mjukuu wa mke wa pili wa bamdogo wa babu bado ni ndugu, ubaya wa hapa ndugu wa mbali huweza kushawishika kuingia kwenye mambo ambayo sitayaelezea ila watu wa huko wanayajua,
Ukabila - kwenye fursa / nafasi za kazi huwa hawawezi kuficha udaifu wao wa ukabila / tribalism, mnyakyusa akishika madaraka mfano umeneja au cheo cha kuajiri, kigezo kizito kwake ni kuwa kabila moja kisha vingine vitafuata, ukichanganya na kuwa na ndugu wengi ni janga.
Wanawake kujali zaidi ndugu kuliko mme, huna sauti mbele ya ndugu zake, inaweza kuelekweka kwa ndugu wa damu lakini kinachokera ni hadi wale ndugu wa mbali kina mjukuu wa bamdogo wa babu, jambo la ndugu kwanza wewe wa pili.
Ubabe kwa baadhi ya wanawake ni tatizo, na hasa ukizingatia wengi wana miili ile oiginal ya kibantu yenye afya ukiwa legelege usije ukajaribu kutumia violence, utaaibika !! Wao wanataka muwe sawa na hii inaleta taabu wao kumnyenyekea mume, wao hujisifu kwa kuchanganya ni msimamo au kukataa kuendeshwa ila ni ubabe na kiburi.
Kwenye nyumba mama ndie mwenye sauti - hii ni kawaida sana kwenda nyumba yenye mama mnyakyusa uki observe utagundua mama ndie kashikilia usujkani ama kuna usawa kwenye utawala wa nyumba.
Wengi wana uwezo mdogo kusimamia biashara sababu ya kuingiza undugu usio na mipaka kwenye biashara, mtu ukifanikiwa kidogo tu kwenye biashara ndugu huanza kukuelemea na nilichogundua wana uoga wa kuwawajibisha ndugu kwa hofu ya kusemwa na ndugu wengine. Ndio maana wengi hupendelea ajira ambazo serikali huwalipa mshahara, Ni wazi hata ukienda Mbeya biashara kubwa zimeshikiliwa zaido na wageni hasa wakinga.
Ni hayo tu lakini kwa ujumla wanyakyusa wapo juu.
Wanyakyusa kwa haraka haraka naweza kusema ndio kabila linaloongoza kwa wasomi wengi, viongozi, watu kwenye system, n.k. Kwa Tanzania ukiigawanya mara mbili ile mikoa ya chini.
Inshort wanyakyusa kwa uzoefu wangu ni watu wakarimu zaidi tena kwa vitendo na hakuna maneno ama kutangazwa ukishasaidiwa.
Nimeshakwenda ofisi flani nikiwa mgeni wa mifumo ila kuna mbaba wa kinyaki alinisaidia a to z utadhani mimi mtoto wake, nilishangaa sana.
Suala la msosi wa wanyakyusa wala si taabu, utakula vizuri tu labda wasipike ubwabwa wapike ndizi
Ni wacha Mungu hasa kwa upande wa wanawake, Mbeya ni mkoa unaoongoza kwa makanisa mengi mitaa ya Nzovwe kunaitwa Nigeria sababu kuna nyomi la makanisa, wingi huu umeweza kuwafanya wanyakyusa kuwa mstari wa mbele kutoa waimba gospel na wachungaji wengi katika ngazi ya taifa (japo kuna wimbi kubwa limenza kutanda la wachungaji matapeli wanaonenepea sadaka).
Wanyakyusa wanathamini sana elimu kwa lengo mtoto aje apate ajira, Mbeya ni sehemu ya pili hapa Tanzania kwa kuwa na vyuo vingi nyuma ya Dsm. Ni Kabila la nne kwa wasomi nyuma ya wahaya, wachaga na wasukuma (kuna wasukuma milioni 16 wana asilimia ndogo ya wasomi ndani ya jamii yao lakini hio asilimia ni idadi kubwa kitaifa)
MAPUNGUFU YAO...
Rundo la ndugu.. Kwa kawaida ndugu inabidi wawe wale mliozaliwa nao na wale wa upande wa wazazi kina mjomba, shangazi, ma mdogo, ba mkubwa, Pamoja na watoto wao, kwa wanyaki wamevuka, hata mjukuu wa mke wa pili wa bamdogo wa babu bado ni ndugu, ubaya wa hapa ndugu wa mbali huweza kushawishika kuingia kwenye mambo ambayo sitayaelezea ila watu wa huko wanayajua,
Ukabila - kwenye fursa / nafasi za kazi huwa hawawezi kuficha udaifu wao wa ukabila / tribalism, mnyakyusa akishika madaraka mfano umeneja au cheo cha kuajiri, kigezo kizito kwake ni kuwa kabila moja kisha vingine vitafuata, ukichanganya na kuwa na ndugu wengi ni janga.
Wanawake kujali zaidi ndugu kuliko mme, huna sauti mbele ya ndugu zake, inaweza kuelekweka kwa ndugu wa damu lakini kinachokera ni hadi wale ndugu wa mbali kina mjukuu wa bamdogo wa babu, jambo la ndugu kwanza wewe wa pili.
Ubabe kwa baadhi ya wanawake ni tatizo, na hasa ukizingatia wengi wana miili ile oiginal ya kibantu yenye afya ukiwa legelege usije ukajaribu kutumia violence, utaaibika !! Wao wanataka muwe sawa na hii inaleta taabu wao kumnyenyekea mume, wao hujisifu kwa kuchanganya ni msimamo au kukataa kuendeshwa ila ni ubabe na kiburi.
Kwenye nyumba mama ndie mwenye sauti - hii ni kawaida sana kwenda nyumba yenye mama mnyakyusa uki observe utagundua mama ndie kashikilia usujkani ama kuna usawa kwenye utawala wa nyumba.
Wengi wana uwezo mdogo kusimamia biashara sababu ya kuingiza undugu usio na mipaka kwenye biashara, mtu ukifanikiwa kidogo tu kwenye biashara ndugu huanza kukuelemea na nilichogundua wana uoga wa kuwawajibisha ndugu kwa hofu ya kusemwa na ndugu wengine. Ndio maana wengi hupendelea ajira ambazo serikali huwalipa mshahara, Ni wazi hata ukienda Mbeya biashara kubwa zimeshikiliwa zaido na wageni hasa wakinga.
Ni hayo tu lakini kwa ujumla wanyakyusa wapo juu.