Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika wa ccm,ni mnyakyusa.hii sifa hii hafai kua spikaWanyaki wako vizuri ila wanapenda ngono utadhani Masai na mkuki. Wanagawa uroda utadhani biscuit.
Wapo wengine Wana hayo majina .....but most of then kama vile kina kibona, etcKwani wandali wao wapoje?? Mboba hawasikiki kabisa...wenyewe majina yao hayana mwa au na wao ni mwa mwa mwa
Utofauti wao ni upi au lugha...Wapo wengine Wana hayo majina .....but most of then kama vile kina kibona, etc
Labda Ambwene Yesaya?Nitajie wasanii Wakubwa 5 wanaotoka Mbeya ukiachana na Rayvany?????
Kwanini ni ngumu kuchomoka kwa Mnyaki?Wazuri mkuu, shepu za kibantu pro utazipata kwa wanyakyusa wa Rungwe, kama weupe ndio ugonjwa wako wapo wanyaki wa Kyela.
Ukinasa kwenye penzi la mnyaki ni ngumu sana kuchomoka
Utofauti wao ni nini?Wanyantuzu ni mwisho nadhani ni wasukuma tofauti sanaa
Hahah! Rungwe au Kyela?
Aliwahi kutokea mmoja anaitwa Mwakatrump.Kwani wandali wao wapoje?? Mboba hawasikiki kabisa...wenyewe majina yao hayana mwa au na wao ni mwa mwa mwa
Kwa niaba ya wanyakyusa wenzangu tunasema ndagha fijo👏🏿👏🏿😊maua tumeyapokea