Mwaka wa nne huu naishi Mbeya, Wanyakyusa nawapa maua yenu japo mna mapungufu machache

Mwaka wa nne huu naishi Mbeya, Wanyakyusa nawapa maua yenu japo mna mapungufu machache

Kwani wandali wao wapoje?? Mboba hawasikiki kabisa...wenyewe majina yao hayana mwa au na wao ni mwa mwa mwa
 
Wazuri mkuu, shepu za kibantu pro utazipata kwa wanyakyusa wa Rungwe, kama weupe ndio ugonjwa wako wapo wanyaki wa Kyela.

Ukinasa kwenye penzi la mnyaki ni ngumu sana kuchomoka
Kwanini ni ngumu kuchomoka kwa Mnyaki?
 
Back
Top Bottom