Mwaka wa nne huu naishi Mbeya, Wanyakyusa nawapa maua yenu japo mna mapungufu machache

Mwaka wa nne huu naishi Mbeya, Wanyakyusa nawapa maua yenu japo mna mapungufu machache

watu wa mikoa mingine tunawajua zaidi wakurya, ni sifa kubwa ya kuwa main tribe kwetu ambao hatujawai kufika Mara
Main tribe unajua maana yake, wakurya unafikiri kwanini wamesikikika zaidi? Ni kwa sababu ya kupenda kazi za upolisi na jeshi, pia tabia yao ya ubabe lakini unapozungumzia main unamaanisha wingi na sio umaarufu.
 
Main tribe unajua maana yake, wakurya unafikiri kwanini wamesikikika zaidi? Ni kwa sababu ya kupenda kazi za upolisi na jeshi, pia tabia yao ya ubabe lakini unapozungumzia main unamaanisha wingi na sio umaarufu.
Wanyakyusa kwa haraka haraka naweza kusema ndio kabila linaloongoza kwa wasomi wengi, viongozi, watu kwenye system, n.k. Kwa Tanzania yote ya kusini.
1713125368406.png

point nyingine


Wanyakyusa wanathamini sana elimu kwa lengo mtoto aje apate ajira, Mbeya ni sehemu ya pili hapa Tanzania kwa kuwa na vyuo vingi nyuma ya Dsm. Ni Kabila la nne kwa wasomi nyuma ya wahaya, wachaga na wasukuma (kuna wasukuma milioni 10 na zaidi hata kukiwa na 1 msomi katika kila wasukuma 10 bado ni wengi)
 
Hili kabila linafanya maisha yao kimya kimya... ukifanya udadisi utagundua ndio wafanya maamuz wakuu ktk hii nchi... Hakuna sehem yenye kuhitaji akili ukamkosa mnyakusa... Ukitaka connection ya maisha tafuta mnyakusa make naye urafiki...
 
Kwenye elimu wazee wa kinyakyusa ni shida.. mzee wangu amelikomalia kuhakikisha kila mtu home anafika chuo Hata iweje... baada ya malengo yake kutimia tukajua mzee sasa atatulia ... Cha ajabu kaamia kwenye masters kila mtu anataka awe na masters[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23] ni hatari
 
Kuwa na wasanii ni hoja ya msingi kweli wewe ni msomi kweli!!!!
Inaachaje kuwa hoja ya msingi Ikiwa wasanii ni kioo ja jamii,, watakuelimisha kupitia sanaa yao lakini pia watakuburudisha.....

Umeishia darasa la ngapi wewe kiasi cha kushindwa kujua umuhimu wa wasanii ndani ya nchi haijalishi ni tz au wapi?????
 
Kwanza kabisa ieleweke mkoa wa Mbeya kuna makabila mengine kama wasafwa, wandali, wamalila, n.k. Ila wageni wengi huwa tumekariri wanyakyusa sababu ndio main tribe, karibu kila mkoa una main tribe wageni hawajui sub tribes, Ruvuma main tribe ni wangoni ila kuna wamatengo, Mara main tribe ni Wakurya ila kuna wajita, Njombe main tribe wakinga ila kuna wabena, n.k.

Wanyakyusa kwa haraka haraka naweza kusema ndio kabila linaloongoza kwa wasomi wengi, viongozi, watu kwenye system, n.k. Kwa Tanzania yote ya mikoa ya kusini.

Inshort wanyakyusa kwa uzoefu wangu ni watu wakarimu zaidi tena kwa vitendo na hakuna maneno ama kutangazwa ukishasaidiwa.

Nimeshakwenda ofisi flani nikiwa mgeni wa mifumo ila kuna mbaba wa kinyaki alinisaidia a to z utadhani mimi mtoto wake, nilishangaa sana.

Suala la msosi wa wanyakyusa wala si taabu, utakula vizuri tu labda wasipike ubwabwa wapike ndizi

Ni wacha Mungu hasa kwa upande wa wanawake, sehemu kama mitaa ya Nzovwe kunaitwa Nigeria sababu kuna nyomi la makanisa, wingi huu umeweza kuwafanya wanyakyusa kuwa mstari wa mbele kutoa wachungaji wengi na waimba gospel katika ngazi ya taifa.

Nikiwa mwizi kichapo kikinizidia ntakimbilia kwa wanyakyusa at least ntapata dozi ya kati kisha nipelekwe polisi, nikizubaa naweza kukatwa mapanga

Wanyakyusa wanathamini sana elimu kwa lengo mtoto aje apate ajira, Mbeya ni sehemu ya pili hapa Tanzania kwa kuwa na vyuo vingi nyuma ya Dsm. Ni Kabila la nne kwa wasomi nyuma ya wahaya, wachaga na wasukuma (kuna wasukuma milioni 10 na zaidi hata kukiwa na 1 msomi katika kila wasukuma 10 bado ni wengi)

MAPUNGUFU YAO...

Pamoja na hayo mapungufu yapo na hayo ni:

Rundo la ndugu.. Kwa kawaida ndugu inabidi wawe wale mliozaliwa nao na wale wa upande wa wazazi kina mjomba, shangazi, ma mdogo, ba mkubwa, n.k. Pamoja na watoto wao Ila wanyaki wamevuka, hata mjukuu wa mke wa pili wa bamdogo wa babu ni ndugu,

Ukabila - Wanyakyusa kwanza wengine msubiri, Kwenye fursa / nafasi za kazi mnyakyusa akishika madaraka ni kawaida kujaza wanyakyusa wengine, ukichanganya na kuwa na ndugu wengi ni shida hio, mlolongo ni mrefu sana.

Wanawake kujali zaidi ndugu kuliko mme, huna sauti mbele ya mwanamke linapokuja suala la ndugu zake hata awe mjukuu wa bamdogo wa babu.

Ubabe kwa baadhi ya wanawake ni tatizo, na hasa ukizingatia wengi wana miili yenye afya ukiwa legelege usije ukajaribu kutumia violence, utaaibika!! Wao wanataka muwe sawa na hii inaleta taabu wao kumnyenyekea mume, wao hudhani ni msimamo au kukataa kuendeshwa ila ni ubabe. Kwenye nyumba mama ndie mwenye sauti.

Wengi sio wana uwezo mdogo kusimamia biasbhara sababu ya kuingiza undugu usio na mipaka kwenye biashara, mtu ukifanikiwa kidogo tu kwenye biashara ndugu huanza kukuelemea na nilichogundua wana uoga wa kuwawajibisha ndugu kwa hofu ya kutengwa. Ndio maana wengi hupendelea ajira ambazo serikali huwalipa mshahara, Ni wazi hata ukienda Mbeya biashara zimeshikiliwa zaido na wageni hasa wakinga.

Ni hayo tu lakini kwa ujumla wanyakyusa wapo juu.
Nimependa hyo wanawake ni wakarimu 😅😅
 
Kwanza kabisa ieleweke mkoa wa Mbeya kuna makabila mengine kama wasafwa, wandali, wamalila, n.k. Ila wageni wengi huwa tumekariri wanyakyusa sababu ndio main tribe, karibu kila mkoa una main tribe wageni hawajui sub tribes, Ruvuma main tribe ni wangoni ila kuna wamatengo, Mara main tribe ni Wakurya ila kuna wajita, Njombe main tribe wakinga ila kuna wabena, n.k.

Wanyakyusa kwa haraka haraka naweza kusema ndio kabila linaloongoza kwa wasomi wengi, viongozi, watu kwenye system, n.k. Kwa Tanzania yote ya mikoa ya kusini.

Inshort wanyakyusa kwa uzoefu wangu ni watu wakarimu zaidi tena kwa vitendo na hakuna maneno ama kutangazwa ukishasaidiwa.

Nimeshakwenda ofisi flani nikiwa mgeni wa mifumo ila kuna mbaba wa kinyaki alinisaidia a to z utadhani mimi mtoto wake, nilishangaa sana.

Suala la msosi wa wanyakyusa wala si taabu, utakula vizuri tu labda wasipike ubwabwa wapike ndizi

Ni wacha Mungu hasa kwa upande wa wanawake, sehemu kama mitaa ya Nzovwe kunaitwa Nigeria sababu kuna nyomi la makanisa, wingi huu umeweza kuwafanya wanyakyusa kuwa mstari wa mbele kutoa wachungaji wengi na waimba gospel katika ngazi ya taifa.

Nikiwa mwizi kichapo kikinizidia ntakimbilia kwa wanyakyusa at least ntapata dozi ya kati kisha nipelekwe polisi, nikizubaa naweza kukatwa mapanga

Wanyakyusa wanathamini sana elimu kwa lengo mtoto aje apate ajira, Mbeya ni sehemu ya pili hapa Tanzania kwa kuwa na vyuo vingi nyuma ya Dsm. Ni Kabila la nne kwa wasomi nyuma ya wahaya, wachaga na wasukuma (kuna wasukuma milioni 10 na zaidi hata kukiwa na 1 msomi katika kila wasukuma 10 bado ni wengi)

MAPUNGUFU YAO...

Pamoja na hayo mapungufu yapo na hayo ni:

Rundo la ndugu.. Kwa kawaida ndugu inabidi wawe wale mliozaliwa nao na wale wa upande wa wazazi kina mjomba, shangazi, ma mdogo, ba mkubwa, n.k. Pamoja na watoto wao Ila wanyaki wamevuka, hata mjukuu wa mke wa pili wa bamdogo wa babu ni ndugu,

Ukabila - Wanyakyusa kwanza wengine msubiri, Kwenye fursa / nafasi za kazi mnyakyusa akishika madaraka ni kawaida kujaza wanyakyusa wengine, ukichanganya na kuwa na ndugu wengi ni shida hio, mlolongo ni mrefu sana.

Wanawake kujali zaidi ndugu kuliko mme, huna sauti mbele ya mwanamke linapokuja suala la ndugu zake hata awe mjukuu wa bamdogo wa babu.

Ubabe kwa baadhi ya wanawake ni tatizo, na hasa ukizingatia wengi wana miili yenye afya ukiwa legelege usije ukajaribu kutumia violence, utaaibika!! Wao wanataka muwe sawa na hii inaleta taabu wao kumnyenyekea mume, wao hudhani ni msimamo au kukataa kuendeshwa ila ni ubabe. Kwenye nyumba mama ndie mwenye sauti.

Wengi sio wana uwezo mdogo kusimamia biasbhara sababu ya kuingiza undugu usio na mipaka kwenye biashara, mtu ukifanikiwa kidogo tu kwenye biashara ndugu huanza kukuelemea na nilichogundua wana uoga wa kuwawajibisha ndugu kwa hofu ya kutengwa. Ndio maana wengi hupendelea ajira ambazo serikali huwalipa mshahara, Ni wazi hata ukienda Mbeya biashara zimeshikiliwa zaido na wageni hasa wakinga.

Ni hayo tu lakini kwa ujumla wanyakyusa wapo juu.
Hawa ndio washirikina wakatili na wakabila. Wauza ngozi za binadamu wenzao, watu wenye wivu mkubwa. Kila familia ina kanisa lake, hawezi kukaa pamoja hawa ni akina Mwamposa manabii wa uongo. Ulienda mbeya gani?
 
H
Wanyaki wako vizuri ila wanapenda ngono utadhani Masai na mkuki. Wanagawa uroda utadhani biscuit.
Uenda ni population strategy ingawa mimi jana nilikuwa moja ya mMfekemo Hotel nimenyimwa utamu na baridi ilikuwa Kali nikaona nimechemka Kula mbususu ya kwetu huko,ila makavira makubwa yanagawa uroda kama population strategy
 
Familia nyingi za Kinyaki utakuta ni ndugu wa mke tu wanaishi kwa mashemeji zao

Utakuta wengi wanaenda kuishi kwa dada zao wa Kinyaki walioolewa hata miaka mpaka pale watakapoweza kujitegemea ndio wanaondoka

Ila ndugu wa mwanaume akitoboa wiki ashukuru Mungu
Hii sentensi ya mwisho umeipatia kwa asilimia 100.
 
Ahsante mtoa mada,lakini Dodoma ina vyuo vingi sana kuliko Mbeya
 
Ahsante mtoa mada,lakini Dodoma ina vyuo vingi sana kuliko Mbeya,
 
Hawa ndio washirikina wakatili na wakabila. Wauza ngozi za binadamu wenzao, watu wenye wivu mkubwa. Kila familia ina kanisa lake, hawezi kukaa pamoja hawa ni akina Mwamposa manabii wa uongo. Ulienda mbeya gani?
Mbeya ni kubwa, huko wanakochuna ngozi ni sehemu iliyosifika kwa matukio ya ziada ya kupiga nondo watu visogoni, huko kunaitwa Mbozi na kwa sasa ni mkoa mpya wa Songwe, Wanyakyusa hawapo huko
 
Hawa ndio washirikina wakatili na wakabila. Wauza ngozi za binadamu wenzao, watu wenye wivu mkubwa. Kila familia ina kanisa lake, hawezi kukaa pamoja hawa ni akina Mwamposa manabii wa uongo. Ulienda mbeya gani?
Wanyakyusa wañapatikana tukuyu na kyela, sio kila tukio linalotokea mbeya linahusisha wanyakyusa, kuna makabila mengi huo mkoa.
 
Back
Top Bottom