Mwaka wa nne huu naishi Mbeya, Wanyakyusa nawapa maua yenu japo mna mapungufu machache

Mwaka wa nne huu naishi Mbeya, Wanyakyusa nawapa maua yenu japo mna mapungufu machache

Kwanza kabisa ieleweke mkoa wa Mbeya kuna makabila mengine kama wasafwa, wandali, wamalila, n.k. Ila wageni wengi huwa tumekariri wanyakyusa sababu ndio main tribe, karibu kila mkoa una main tribe wageni hawajui sub tribes, Ruvuma main tribe ni wangoni ila kuna wamatengo, Mara main tribe ni Wakurya ila kuna wakwaya, Njombe main tribe wakinga ila kuna wawanji, n.k.

Wanyakyusa kwa haraka haraka naweza kusema ndio kabila linaloongoza kwa wasomi wengi, viongozi, watu kwenye system, n.k. Kwa Tanzania yote ya kusini ukiigawanya vipande viwili ukiondoa dsm.

Inshort wanyakyusa kwa uzoefu wangu ni watu wakarimu zaidi tena kwa vitendo na hakuna maneno ama kutangazwa ukishasaidiwa.

Nimeshakwenda ofisi flani nikiwa mgeni wa mifumo ila kuna mbaba wa kinyaki alinisaidia a to z utadhani mimi mtoto wake, nilishangaa sana.

Suala la msosi wa wanyakyusa wala si taabu, utakula vizuri tu labda wasipike ubwabwa wapike ndizi

Ni wacha Mungu hasa kwa upande wa wanawake, sehemu kama mitaa ya Nzovwe kunaitwa Nigeria sababu kuna nyomi la makanisa, wingi huu umeweza kuwafanya wanyakyusa kuwa mstari wa mbele kutoa wachungaji wengi na waimba gospel katika ngazi ya taifa.

Nikiwa mwizi kichapo kikinizidia ntakimbilia kwa wanyakyusa at least ntapata dozi ya kati kisha nipelekwe polisi, nikizubaa naweza kukatwa mapanga

Wanyakyusa wanathamini sana elimu kwa lengo mtoto aje apate ajira, Mbeya ni sehemu ya pili haoa Tanzania kwa kuwa na vyuo vingi.

MAPUNGUFU YAO...

Pamoja na hayo mapungufu yapo na hayo ni:

Rundo la ndugu.. Kwa kawaida ndugu inabidi wawe wale mliozaliwa nao na wale wa upande wa wazazi kina mjomba, shangazi, ma mdogo, ba mkubwa, n.k. Pamoja na watoto wao Ila wanyaki wamevuka, hata mjukuu wa mke wa pili wa bamdogo wa babu ni ndugu,

Ukabila - Wanyakyusa kwanza wengine msubiri, Kwenye fursa / nafasi za kazi mnyakyusa akishika madaraka ni kawaida kujaza wanyakyusa wengine, ukichanganya na kuwa na ndugu wengi ni shida hio, mlolongo ni mrefu sana.

Wanawake kujali zaidi ndugu kuliko mme, huna sauti mbele ya mwanamke linapokuja suala la ndugu zake hata awe mjukuu wa bamdogo wa babu.

Ubabe kwa wanawake, mtu anaweza kuwa na mapungufu bila yeye kujua, wengi huchanganya ubabe na msimamo, ni vitu viwili tofauti.

Ni hayo tu lakini kwa ujumla wanyakyusa wapo juu.
Sawa mkuu,mapungufu achana nayo, tufanyeje Sasa?
 
Kwanza kabisa ieleweke mkoa wa Mbeya kuna makabila mengine kama wasafwa, wandali, wamalila, n.k. Ila wageni wengi huwa tumekariri wanyakyusa sababu ndio main tribe, karibu kila mkoa una main tribe wageni hawajui sub tribes, Ruvuma main tribe ni wangoni ila kuna wamatengo, Mara main tribe ni Wakurya ila kuna wakwaya, Njombe main tribe wakinga ila kuna wawanji, n.k.

Wanyakyusa kwa haraka haraka naweza kusema ndio kabila linaloongoza kwa wasomi wengi, viongozi, watu kwenye system, n.k. Kwa Tanzania yote ya kusini ukiigawanya vipande viwili ukiondoa dsm.

Inshort wanyakyusa kwa uzoefu wangu ni watu wakarimu zaidi tena kwa vitendo na hakuna maneno ama kutangazwa ukishasaidiwa.

Nimeshakwenda ofisi flani nikiwa mgeni wa mifumo ila kuna mbaba wa kinyaki alinisaidia a to z utadhani mimi mtoto wake, nilishangaa sana.

Suala la msosi wa wanyakyusa wala si taabu, utakula vizuri tu labda wasipike ubwabwa wapike ndizi

Ni wacha Mungu hasa kwa upande wa wanawake, sehemu kama mitaa ya Nzovwe kunaitwa Nigeria sababu kuna nyomi la makanisa, wingi huu umeweza kuwafanya wanyakyusa kuwa mstari wa mbele kutoa wachungaji wengi na waimba gospel katika ngazi ya taifa.

Nikiwa mwizi kichapo kikinizidia ntakimbilia kwa wanyakyusa at least ntapata dozi ya kati kisha nipelekwe polisi, nikizubaa naweza kukatwa mapanga

Wanyakyusa wanathamini sana elimu kwa lengo mtoto aje apate ajira, Mbeya ni sehemu ya pili haoa Tanzania kwa kuwa na vyuo vingi.

MAPUNGUFU YAO...

Pamoja na hayo mapungufu yapo na hayo ni:

Rundo la ndugu.. Kwa kawaida ndugu inabidi wawe wale mliozaliwa nao na wale wa upande wa wazazi kina mjomba, shangazi, ma mdogo, ba mkubwa, n.k. Pamoja na watoto wao Ila wanyaki wamevuka, hata mjukuu wa mke wa pili wa bamdogo wa babu ni ndugu,

Ukabila - Wanyakyusa kwanza wengine msubiri, Kwenye fursa / nafasi za kazi mnyakyusa akishika madaraka ni kawaida kujaza wanyakyusa wengine, ukichanganya na kuwa na ndugu wengi ni shida hio, mlolongo ni mrefu sana.

Wanawake kujali zaidi ndugu kuliko mme, huna sauti mbele ya mwanamke linapokuja suala la ndugu zake hata awe mjukuu wa bamdogo wa babu.

Ubabe kwa wanawake, mtu anaweza kuwa na mapungufu bila yeye kujua, wengi huchanganya ubabe na msimamo, ni vitu viwili tofauti.

Ni hayo tu lakini kwa ujumla wanyakyusa wapo juu.
Kule Mbeya tuwaitwa "WASOKILE" na akiwa mmoja 'MSOKILE". Yaani 'alitoka". Imetokana na fact kwamba kila nyumba ukiuuliza mama yuko wapi? unajibiwa "asokile", yaani aliondoka. Hawa viumbe hawakai na wanaume!! Vile unamuona GIGI Money ambaye kazaliwa Dar es Salaam na Mbeya haijui basi ndiyo viumbe hawa walivyo. wanyakyusa wengine ni kama Anti Ezekiel na Amber Lulu, wao ni kuhangaisha papa toka kwa mwanaume huyu kwenda kwa mwingine.

Akikunyima penzi mnyakyusa nenda ukaoge. Hawajui kusema "No"

Hata waume zao ambao wamesoma na kutoka nje wanao wake wa makabila mengine
 
Gospel karibu 80 percent

Legends wa bongo fleva kuna AY, MiKE TEE, Caz T, Enika.

Producers legends wa bongo fleva kuna Roy wa g-recordz na amba producer wa mkoani alieweza kutengeneza ngoma kibao zilizohit
JE WOTE ULIOWATAJA HAPA NI WANYAKYUSA???? BACK TO THE TOPIC,, TUNA WAZUNGUMZIA WANYAKI NA MBEYA KUNA ZAIDI YA KABILA MOJA,, JE HAWA WOTE ULIOWATAJA UNATAKA KUNIAMBIA NI WANYAKYUSA??????
 
Kuna mmoja nampenda sanaa,,, Mungu amtunze ila nimjuaji sijawai ona
 
JE WOTE ULIOWATAJA HAPA NI WANYAKYUSA???? BACK TO THE TOPIC,, TUNA WAZUNGUMZIA WANYAKI NA MBEYA KUNA ZAIDI YA KABILA MOJA,, JE HAWA WOTE ULIOWATAJA UNATAKA KUNIAMBIA NI WANYAKYUSA??????
Wote hao wanyaki

Kina Izo B, Dizasta Vina, Sugu, n.k. Hao wa Mbeya lakini makabila mengine
 
Back
Top Bottom