Mwaka wa nne huu naishi Mbeya, Wanyakyusa nawapa maua yenu japo mna mapungufu machache

Sawa mkuu,mapungufu achana nayo, tufanyeje Sasa?
 
Kule Mbeya tuwaitwa "WASOKILE" na akiwa mmoja 'MSOKILE". Yaani 'alitoka". Imetokana na fact kwamba kila nyumba ukiuuliza mama yuko wapi? unajibiwa "asokile", yaani aliondoka. Hawa viumbe hawakai na wanaume!! Vile unamuona GIGI Money ambaye kazaliwa Dar es Salaam na Mbeya haijui basi ndiyo viumbe hawa walivyo. wanyakyusa wengine ni kama Anti Ezekiel na Amber Lulu, wao ni kuhangaisha papa toka kwa mwanaume huyu kwenda kwa mwingine.

Akikunyima penzi mnyakyusa nenda ukaoge. Hawajui kusema "No"

Hata waume zao ambao wamesoma na kutoka nje wanao wake wa makabila mengine
 
Gospel karibu 80 percent

Legends wa bongo fleva kuna AY, MiKE TEE, Caz T, Enika.

Producers legends wa bongo fleva kuna Roy wa g-recordz na amba producer wa mkoani alieweza kutengeneza ngoma kibao zilizohit
JE WOTE ULIOWATAJA HAPA NI WANYAKYUSA???? BACK TO THE TOPIC,, TUNA WAZUNGUMZIA WANYAKI NA MBEYA KUNA ZAIDI YA KABILA MOJA,, JE HAWA WOTE ULIOWATAJA UNATAKA KUNIAMBIA NI WANYAKYUSA??????
 
Kuna mmoja nampenda sanaa,,, Mungu amtunze ila nimjuaji sijawai ona
 
JE WOTE ULIOWATAJA HAPA NI WANYAKYUSA???? BACK TO THE TOPIC,, TUNA WAZUNGUMZIA WANYAKI NA MBEYA KUNA ZAIDI YA KABILA MOJA,, JE HAWA WOTE ULIOWATAJA UNATAKA KUNIAMBIA NI WANYAKYUSA??????
Wote hao wanyaki

Kina Izo B, Dizasta Vina, Sugu, n.k. Hao wa Mbeya lakini makabila mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…