Mwaka wa nne huu naishi Mbeya, Wanyakyusa nawapa maua yenu japo mna mapungufu machache

watu wa mikoa mingine tunawajua zaidi wakurya, ni sifa kubwa ya kuwa main tribe kwetu ambao hatujawai kufika Mara
Main tribe unajua maana yake, wakurya unafikiri kwanini wamesikikika zaidi? Ni kwa sababu ya kupenda kazi za upolisi na jeshi, pia tabia yao ya ubabe lakini unapozungumzia main unamaanisha wingi na sio umaarufu.
 
Main tribe unajua maana yake, wakurya unafikiri kwanini wamesikikika zaidi? Ni kwa sababu ya kupenda kazi za upolisi na jeshi, pia tabia yao ya ubabe lakini unapozungumzia main unamaanisha wingi na sio umaarufu.
Wanyakyusa kwa haraka haraka naweza kusema ndio kabila linaloongoza kwa wasomi wengi, viongozi, watu kwenye system, n.k. Kwa Tanzania yote ya kusini.

point nyingine


Wanyakyusa wanathamini sana elimu kwa lengo mtoto aje apate ajira, Mbeya ni sehemu ya pili hapa Tanzania kwa kuwa na vyuo vingi nyuma ya Dsm. Ni Kabila la nne kwa wasomi nyuma ya wahaya, wachaga na wasukuma (kuna wasukuma milioni 10 na zaidi hata kukiwa na 1 msomi katika kila wasukuma 10 bado ni wengi)
 
Hili kabila linafanya maisha yao kimya kimya... ukifanya udadisi utagundua ndio wafanya maamuz wakuu ktk hii nchi... Hakuna sehem yenye kuhitaji akili ukamkosa mnyakusa... Ukitaka connection ya maisha tafuta mnyakusa make naye urafiki...
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ni hatari
 
Kuwa na wasanii ni hoja ya msingi kweli wewe ni msomi kweli!!!!
Inaachaje kuwa hoja ya msingi Ikiwa wasanii ni kioo ja jamii,, watakuelimisha kupitia sanaa yao lakini pia watakuburudisha.....

Umeishia darasa la ngapi wewe kiasi cha kushindwa kujua umuhimu wa wasanii ndani ya nchi haijalishi ni tz au wapi?????
 
Nimependa hyo wanawake ni wakarimu 😅😅
 
Hawa ndio washirikina wakatili na wakabila. Wauza ngozi za binadamu wenzao, watu wenye wivu mkubwa. Kila familia ina kanisa lake, hawezi kukaa pamoja hawa ni akina Mwamposa manabii wa uongo. Ulienda mbeya gani?
 
H
Wanyaki wako vizuri ila wanapenda ngono utadhani Masai na mkuki. Wanagawa uroda utadhani biscuit.
Uenda ni population strategy ingawa mimi jana nilikuwa moja ya mMfekemo Hotel nimenyimwa utamu na baridi ilikuwa Kali nikaona nimechemka Kula mbususu ya kwetu huko,ila makavira makubwa yanagawa uroda kama population strategy
 
Hii sentensi ya mwisho umeipatia kwa asilimia 100.
 
Ahsante mtoa mada,lakini Dodoma ina vyuo vingi sana kuliko Mbeya
 
Ahsante mtoa mada,lakini Dodoma ina vyuo vingi sana kuliko Mbeya,
 
Hawa ndio washirikina wakatili na wakabila. Wauza ngozi za binadamu wenzao, watu wenye wivu mkubwa. Kila familia ina kanisa lake, hawezi kukaa pamoja hawa ni akina Mwamposa manabii wa uongo. Ulienda mbeya gani?
Mbeya ni kubwa, huko wanakochuna ngozi ni sehemu iliyosifika kwa matukio ya ziada ya kupiga nondo watu visogoni, huko kunaitwa Mbozi na kwa sasa ni mkoa mpya wa Songwe, Wanyakyusa hawapo huko
 
Hawa ndio washirikina wakatili na wakabila. Wauza ngozi za binadamu wenzao, watu wenye wivu mkubwa. Kila familia ina kanisa lake, hawezi kukaa pamoja hawa ni akina Mwamposa manabii wa uongo. Ulienda mbeya gani?
Wanyakyusa wañapatikana tukuyu na kyela, sio kila tukio linalotokea mbeya linahusisha wanyakyusa, kuna makabila mengi huo mkoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…