Mwaka wa pili sijawasikia watu wasiojulikana

Daah! Hiv kumbukizi ya mfadhili wao kumbe ni jana! Duuh naona hata juhudi siku hiz haziungwi tena! Au ni kwa sbb waungaji hawapo tena kama wasiojulikana?
 
Mmawia
Sikiliza hiyo clip,akili itakukaa sawa!

Wewe unawaza Chadema na vita dhidi ya kaburi lililoko Chato!
Kila mnapopitia machungu ya kukaa kijiweni,mnakuja na utumbo mpya humu JF.

Mmawia huna lolote ulijualo nchi hii,hivyo ngoja tukupe taarifa wewe na wa ufipa wenzio.
 
Na wala hatujasikia kabisa zile kauli za Koti la Muungano limetubana!
 
Huwezi kusikia kwa sababu unafikiri kila wakati watu ni wanasiasa tu...kuna wazazi kila mara wanafuatilia vijana walichukuliwa na watu ambao hawajajulikana mpaka leo hawajulikani wako wapi
 

Sponsor hayupo
 
Haijanishawishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…