OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
🗣“Sio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.”
Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga
My Take
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌
Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga
My Take
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌