Mwakalebela: Yanga ni Tishio Barani Afrika

Mwakalebela: Yanga ni Tishio Barani Afrika

Nilitarajia sasa hoja ijibiwe kwa watu kuleta data kwamba labda kuna timu nyingine katika ligi za Afrika nao hajafungwa, ila majibu ya hii hoja ni kama yanatokea kwenye banda la kimpumu.
Yaani hii Yanga inayocheza na Mbeya Kwanza ikawe tisho kwa ligi ya Misri yenye akina Ally Ahly, Zamalek, Al Masr nk. Huyu jamaa sijui amevimbiwa maharage ya kwao.
 
🗣“Sio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.”

Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga

My Take
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌
kwahiyo ukimfunga Mwadui, mbuni, na ndanda unakua tishio Afrika.

Kila MTU ana namba yake ya kuwaza na kuyaona mambo kwa engo yake.
 
kwahiyo ukimfunga Mwadui, mbuni, na ndanda unakua tishio Afrika.

Kila MTU ana namba yake ya kuwaza na kuyaona mambo kwa engo yake.
Ana-refer walivyotoka sare na "taifa kubwa" la Somalia.Apewe heshima yake.😂😂😂😂😂
 
🗣“Sio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.”

Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga

My Take
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌
Huenda wakabeba ubingwa bila kufungwa.... lolote linawezekana kwenye soka
 
Jezi zao zina ramani ya bara la Afrika ndio anamaanisha hiyo.
 
Yupo sahihi kwa uelewa wake, yule Tetesaikline wao aliwai kunena kua hpo kwa wafugaji mwenye akili timamu ni uyo mgeni rasmi pmja na Baba yake yeye TETESAIKLINE, tofauti na hpo wooote waliosalia ni Mijohoro
 
🗣“Sio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.”

Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga

My Take
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌
Kilo 900 anaongea ushuzi wake
 
Yani ni sawa wewe na familia yako mle pilau, afu uanze kujitapa kuwa nyie ni matajiri na mnakula raha kuliko familia zote mtaani.

Niongeze sauti ama imetosha.
Nilitarajia sasa hoja ijibiwe kwa watu kuleta data kwamba labda kuna timu nyingine katika ligi za Afrika nao hajafungwa, ila majibu ya hii hoja ni kama yanatokea kwenye banda la kimpumu.
 
Yani ni sawa wewe na familia yako mle pilau, afu uanze kujitapa kuwa nyie ni matajiri na mnakula raha kuliko familia zote mtaani.

Niongeze sauti ama imetosha.
Kama familia nyingine nazo zinataka kula pilau ila imeshindikana, basi hiyo familia inayokula pilau ipewe heshma yake.
 
Back
Top Bottom