Mwakalebela: Yanga ni Tishio Barani Afrika

Mwakalebela: Yanga ni Tishio Barani Afrika

Yupo sahihi kwa uelewa wake, yule Tetesaikline wao aliwai kunena kua hpo kwa wafugaji mwenye akili timamu ni uyo mgeni rasmi pmja na Baba yake yeye TETESAIKLINE, tofauti na hpo wooote waliosalia ni Mijohoro
Rage nae alikuwa sahihi sana.
 
🗣“Sio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.”

Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga

My Take
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌
Kweli kabisa waliwqpig wanaijeria nje ndani😂😂
Tena sadw hivi wachezaji watapata maziwa ya n'gombe bure
 
Back
Top Bottom