OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nilitarajia sasa hoja ijibiwe kwa watu kuleta data kwamba labda kuna timu nyingine katika ligi za Afrika nao hajafungwa, ila majibu ya hii hoja ni kama yanatokea kwenye banda la kimpumu.[emoji860]βSio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.β
Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga
My Take
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji108][emoji108][emoji108]
Huyu jamaa nae bado yupo kwenye soka.....hiiiii....π£βSio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.β
Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga
My Take
π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ
Tikisa kichwa mkuuNilitarajia sasa hoja ijibiwe kwa watu kuleta data kwamba labda kuna timu nyingine katika ligi za Afrika nao hajafungwa, ila majibu ya hii hoja ni kama yanatokea kwenye banda la kimpumu.
Tishio Fcπ£βSio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.β
Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga
My Take
π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanyakyusa hawajawahi kuwa hivi..huyu atakuwa toleo la mwsho
Analinganisha ligi za Afrika kwani Yanga anashiriki ligi yoyote ya Afrika inayoandaliwa na CAF? Huu ni ujinga na mnaoshabikia hiyo kauli mnafanana nae. Yanga alifungwa ndani na nje na Rivers iweje iogopeke Afrika?Nilitarajia sasa hoja ijibiwe kwa watu kuleta data kwamba labda kuna timu nyingine katika ligi za Afrika nao hajafungwa, ila majibu ya hii hoja ni kama yanatokea kwenye banda la kimpumu.