Yaani hii Yanga inayocheza na Mbeya Kwanza ikawe tisho kwa ligi ya Misri yenye akina Ally Ahly, Zamalek, Al Masr nk. Huyu jamaa sijui amevimbiwa maharage ya kwao.Nilitarajia sasa hoja ijibiwe kwa watu kuleta data kwamba labda kuna timu nyingine katika ligi za Afrika nao hajafungwa, ila majibu ya hii hoja ni kama yanatokea kwenye banda la kimpumu.
ππππYaani hii Yanga inayocheza na Mbeya Kwanza ikawe tisho kwa ligi ya Misri yenye akina Ally Ahly, Zamalek, Al Masr nk. Huyu jamaa sijui amevimbiwa maharage ya kwao.
kwahiyo ukimfunga Mwadui, mbuni, na ndanda unakua tishio Afrika.π£βSio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.β
Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga
My Take
π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ
Komedi hujibiwa kwa komedi.Nilitarajia sasa hoja ijibiwe kwa watu kuleta data kwamba labda kuna timu nyingine katika ligi za Afrika nao hajafungwa, ila majibu ya hii hoja ni kama yanatokea kwenye banda la kimpumu.
Ana-refer walivyotoka sare na "taifa kubwa" la Somalia.Apewe heshima yake.πππππkwahiyo ukimfunga Mwadui, mbuni, na ndanda unakua tishio Afrika.
Kila MTU ana namba yake ya kuwaza na kuyaona mambo kwa engo yake.
Africa Sana njia ya Tegeta NyukiAnaizungumzia Africa ipi
Hicho sio kigezo cha kuwa tishio barani Afrika, ndio maana anajibiwa kikomedi kama alivyotamkaNilitarajia sasa hoja ijibiwe kwa watu kuleta data kwamba labda kuna timu nyingine katika ligi za Afrika nao hajafungwa,
Africa ipi?
Labda mwenzetu ana Africa yake hatuwezi kujua.
Huenda wakabeba ubingwa bila kufungwa.... lolote linawezekana kwenye sokaπ£βSio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.β
Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga
My Take
π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ
Halafu ndio wanaongoza ligi!!!Yanga sio timu , ni kikundi cha Wachekeshaji
Kilo 900 anaongea ushuzi wakeπ£βSio siri kwa sasa Yanga ni timu tishio Afrika, mpaka sasa nimefatilia Ligi za nchi zote Afrika msimu huu Yanga ndio timu pekee Haijafingwa na sasa wapinzani wanajua wakija Kukutana na sisi hawatoki, na moto utaendelea hadi tubebe ubingwa wa Ligi Kuu.β
Ameongea Fredrick Mwakalabela,Makamu Mwenyekiti wa Yanga
My Take
π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ
Nilitarajia sasa hoja ijibiwe kwa watu kuleta data kwamba labda kuna timu nyingine katika ligi za Afrika nao hajafungwa, ila majibu ya hii hoja ni kama yanatokea kwenye banda la kimpumu.
Kama familia nyingine nazo zinataka kula pilau ila imeshindikana, basi hiyo familia inayokula pilau ipewe heshma yake.Yani ni sawa wewe na familia yako mle pilau, afu uanze kujitapa kuwa nyie ni matajiri na mnakula raha kuliko familia zote mtaani.
Niongeze sauti ama imetosha.