Mwakilishi pekee kutoka Afrika aliyekataa kupanda basi ni Rais Sahile Work Zewde wa Ethiopia

Wanatoa macho tu na mipara ngoto yao
 
Tuambiwe Marais wa Mabara mengine wslisafiri vipi
 
Ina maana hii treatment ya kupanda bus walifanyiwa viongozi kutoka Afrika pekee huku viongozi wenzao wa mabara ya Asia, North & South America, Ulaya na Australasia wakipewa treatment tofauti...?

Kama jibu ni NDIYO, basi hata ile sababu iliyotolewa na baadhi ya wenzetu humu kuwa hiyo ilikuwa ni sawa kwa sababu za kiusalama na kiulinzi wa convoys za viongozi wa mataifa mbalimbali zinakuwa hazina maana tena...

Na kwa maana hii, basi huyu mama wa Ethiopia anajitambua na anaijua thamani yake kama HEAD OF THE STATE kwa kukataa kubebwa kwa pamoja kwenye bus kama abiria wa kawaida tu...
 
Uingereza ilitawaliwa Marekani iltawaliwa huyu Mama kadai nafasi ya stahiki, wakati Wafalme wa Kiarabu na Kizungu na Wakiafrika wakijazwa kama Mifugo kwenye Mabasi.

Mama akasema "No! Yelem! bora nikodi Black Cab"

Kudos Sahle Work Zewde.
 
Ruto ye anaona shega tu Tena binge la zali na kicheko juu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220923-205403.png
    188 KB · Views: 1
Umeishaambiwa wafalme wa Hispania, Japan n.k. walipanda basi. Umeishaambiwa Rais wa ujerumani, ufaransa n.k. walipanda basi. Umeishaambiwa mawaziri wakuu wa Canada, New Zealand, Australia n.k walipanda basi. Bado unataka uthibitisho kuwa sio waafrika peke yao waliopanda basi. Hao wote kwenu ni waafrika, mzungu ni Biden peke yake.

Amandla...
 
Nguvu ya kukataa school bus aliitolea wapi? Ndio maana Ethiopia haijawahi kutawaliwa na mkoloni.
 
hahhh na walivyorundikwa ndan ya bus kule uzunguni wanaonekana wa kawaida sana kumbe huku wanatutesa na mitozo mpaka
 
Uingereza ilitawaliwa Marekani iltawaliwa huyu Mama kadai nafasi ya stahiki, wakati Wafalme wa Kiarabu na Kizungu na Wakiafrika wakijazwa kama Mifugo kwenye Mabasi.

Mama akasema "No! Yelem! bora nikodi Black Cab"

Kudos Sahle Work Zewde.
Mnashindwa kuchagua viongozi wazuri miongoni mwenu halafu mna-deman respect kwenye non-issues kama hizi, does that respect you claim give you good leaders? does t stop your habit of stealing other people's property? Tozo...if yes then you deserve if no, better keep quite!
 
Yaan waafrica wengi wamenyoosha mikoni juu na ku surrender. Kwn hao marais waliokuja na misafara wao wakifa watapaa kama yesu. Ndo maana ameweka clear kuwa anatak same respect.

Nafkir magu asingeenda ata uo msiba wnyew kam hakuna ulazima. Agree or argue kusombwa na basi ni madharau.

Hicho kibibi nakijifiege tu huko bna alaa.
 
Wakumbushe hata alivyokuja Tanzania jinsi walivyokua wanashughulika na kusimamia suala Zima la ulinzi wa rais wao.
Walau huko kwa wenzetu US wana military base ya kutoa snipers wanaoishi huko huko kuja kumlinda na wana magari yao ya kutega nje ya msafara. Kwa ivyo logistic zingine unaweza usizione.

Kwa bongo ujio wa Obama mashuhuda wazuri kuhusu ulinzi wa raisi wa marekani ni wa miliki wa 4x4 waliobahatika kuzikodisha ubalozi wa marekani two weeks kabla raisi mwenyewe ajafika.

Hao watu ndio wanaweza simulia vizuri kwa siku walilipwa shillingi ngapi na jamaa walizikomba karibu zote za watoto wa mjini waliopeana dili na wenyewe wakaanza kuzitafuta kwa wengine.

Ulinzi wa raisi wa marekani sio cheap route yake yote inaulinzi mkubwa sana nje ya msafara na wanataka kujua njia zote zinazoweza ifikia sehemu yoyote ya barabara anayopita.


Analindwa kwa radius ukimdhuru popote wana secure eneo lote la radius usichomoke kirahisi na hilo swala halina compromise popote alipo duniani.
 
Hivi kwa nini hizi habari zinatoka huku kwetu tu? Unaweza kukuta alipanda basi au hata hakwenda kanisani siku hiyo!

Amandla...
 
Ethiopia ni falme pekee ambayo haikuwahi kutawaliwa na mkoloni Afrika, hao jamaa hata dini haikuingia kwao , si ukristu wala uislam.
Hata kuandika wana namna yao , hawatumii hizi alphabet ,
Kiufupi ni watu wenye misimamo tokea enzi hizo
Hiyo misimamo imewafikisha wapi hasa? Ni historia ya kupigana wao kwa wao tu! Na hivyo imewafanya yoyote anayetawala nchi hiyo lazima awe ni dikteta! Msimamo wao wa kutotawaliwa na mataifa ya kigeni ulikuwa mzuri, hivyo wangechukua msimamo huo katika kuendeleza na kuiunganisha nchi yao. Hebu iangalie historia ya kupigana wao kwa wao! Utawapa tuzo hilo.
Walipigana miaka hadi Eritrea kujitenga na sasa Tigray.Na hata nayo ikijengana hawatapumzika!
 
Sio mwakiilshi wa Afrika,waafrika kwa umoja wao hajatuma watu kumzika.hata watanzania tumeshtukizwa Rais Samia ameenda kwa ridhaa yake.mataifa ya Africa ambayo viongozi hawakwenda hawakuomba uwakilishi wa viongozi wa kiafrika walioenda.
 
Miaka zaidi ya 800 iliyopita Mfalme Lalibela alichonga kanisa kwenye mwamba baada ya kuzuiwa na waislamu kwenda kuhiji Jerusalem. Utasemaje kuwa ukristu haukuwahi kuingia Ethiopia?
Hiyo ya miaka 800 siijuii , ila ethiopian are neither muslims nor christians pilgrims
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…