myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
😂 😂Sio mwakiilshi wa Afrika,waafrika kwa umoja wao hajatuma watu kumzika.hata watanzania tumeshtukizwa Rais Samia ameenda kwa ridhaa yake.mataifa ya Africa ambayo viongozi hawakwenda hawakuomba uwakilishi wa viongozi wa kiafrika walioenda.