myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
π πSio mwakiilshi wa Afrika,waafrika kwa umoja wao hajatuma watu kumzika.hata watanzania tumeshtukizwa Rais Samia ameenda kwa ridhaa yake.mataifa ya Africa ambayo viongozi hawakwenda hawakuomba uwakilishi wa viongozi wa kiafrika walioenda.
Ni kweli misimamo haijawasaidia sana , nadhani ni pamoja na kukosa western civilization,Hiyo misimamo imewafikisha wapi hasa? Ni historia ya kupigana wao kwa wao tu! Na hivyo imewafanya yoyote anayetawala nchi hiyo lazima awe ni dikteta! Msimamo wao wa kutotawaliwa na mataifa ya kigeni ulikuwa mzuri, hivyo wangechukua msimamo huo katika kuendeleza na kuiunganisha nchi yao. Hebu iangalie historia ya kupigana wao kwa wao! Utawapa tuzo hilo.
Walipigana miaka hadi Eritrea kujitenga na sasa Tigray.Na hata nayo ikijengana hawatapumzika!
Kiusalama pia ingetokea la kutokea Africa tungeombolezaKweli ile ni dharau sana waliyofanyiwa viongozi wetu wa Kiafrica.
Biden na yeye wamgempandisha bus ili iwe 50/50 tuone Kama secret service wangekubali ufala huo.Sahihi, inazungumzia pia heshima, sasa nataka nipime kiwango cha heshima Afrika iliyokosa kwa kulinganisha na namna wengine walivyoheshimiwa.
Christian or muslim pilgrims ndio nani? Most Ethiopians are Orthodox Christians. And they follow their own calendar which has 13 months.Hiyo ya miaka 800 siijuii , ila ethiopian are neither muslims nor christians pilgrims
Hapa Tanzania walishapakiwa kwenye mabasi pia kama sijakosea zilikuwa sherehe za kuapishwa Kikwete au sherahe za kumbukumbu ya Uhuru labda hamjui hilo na wala halikusemewaYaan waafrica wengi wamenyoosha mikoni juu na ku surrender. Kwn hao marais waliokuja na misafara wao wakifa watapaa kama yesu. Ndo maana ameweka clear kuwa anatak same respect.
Nafkir magu asingeenda ata uo msiba wnyew kam hakuna ulazima. Agree or argue kusombwa na basi ni madharau.
Hicho kibibi nakijifiege tu huko bna alaa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii habari ni ya uongo na sio ya kweli.The only African representative who refused to be packed in a bus was the President Sahile Work Zewde of Ethiopia πͺπΉ. She was asked to go by the bus. She said "I won't go like this, I need the same level of respect as others. This has many implication. I have my own Embassy's cars for the protocol ...".
They couldn't convince her and let her to use the Ethiopian Embassy protocol.
View attachment 2365300
View attachment 2365297
Hoja yangu iko kwa mfumo wa swali..Umeishaambiwa wafalme wa Hispania, Japan n.k. walipanda basi. Umeishaambiwa Rais wa ujerumani, ufaransa n.k. walipanda basi. Umeishaambiwa mawaziri wakuu wa Canada, New Zealand, Australia n.k walipanda basi. Bado unataka uthibitisho kuwa sio waafrika peke yao waliopanda basi. Hao wote kwenu ni waafrika, mzungu ni Biden peke yake.
Amandla...