jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
kwa sasa mwakinyo anaonekana kushinda maana anatupa makonde mazuri lakini hatujajua maana aliyepigana na tony alikuwa anakimbia kama nyami ila mwisho wa sikj kamuangusha mtu japo alivyoshinda wakawa wanamzngua wabongo wakamaindi kidogo kiwake azam wakawa wanaficha ficha kutangazaDuh tupe vp lkn unayoona apo kwa tathmini yako mkuu mana wengine tuko mbali,, mdigo atachezea au