Mwakinyo amshinda Mnamibia, Tony Rashid apoteza mkanda kwa Msauzi

Mwakinyo amshinda Mnamibia, Tony Rashid apoteza mkanda kwa Msauzi

Hivi ni nani ambaye huwa anwajibika kutafuta hawa opponents? Sijawahi kuona mtanange wa kukata na shoka kutoka kwa huyu jamaa always kuna kumwaga na slope, Sasa kama huyo jamaa si mzee kabisa?
Pamoja na kumuona Indongo dhaifu lkn sio Kweli.
Indongo amepigana na boxers wenye level za juu sana akiwemo Terence Crowford. Pamoja na kwamba alipigwa lkn alionyesha uwezo mkubwa.
Kwahiyo Mwakinyo amemshinda huyo kwa sababu amesimamia vema mipango yake...Mipango ya Indongo ilikua kuvuta muda lkn mipango ya Mwakinyo ilikua kumaliza ndani ya muda alioukusudia.. Adui mkubwa wa boxers ni muda uliojiwekea kutimiza mipango yako..mpinzani akiweza kukutoa kwenye mipango yako tu umekwisha.
 
Tukiacha unafki, mwakinyo ni bora kwa bongo hii ( Zingatia hapa kwa bongo hii).
Ni chuki zetu tu, sababu ya maneno yake lakini hawa kina kiduku hata wakishusha weight atawadunda tu.
Aaah wapi mtoto sotojo kabisa huyo, hata dulah mbabe tu hamuwezi sema anakutanishwa na wanywa gongo tu
 
Hivi ni nani ambaye huwa anwajibika kutafuta hawa opponents? Sijawahi kuona mtanange wa kukata na shoka kutoka kwa huyu jamaa always kuna kumwaga na slope, Sasa kama huyo jamaa si mzee kabisa?
jamaa anarank 40 Duniani si mbaya, na Umaarufu wa Mwakinyo ameupata baada ya kumpiga Eggington, hivyo si kweli kwamba mapambano ya Mwakinyo ni marahisi, Pengine anajua sana.
 
Guard ya Mwakinyo ilikua nzuri sana na jamaa alishindwa kupitisha ngumi na ili aitatue alitakiwa kupiga hook punch za mbavu lkn kwakua ni mrefu aliogopa kubend kwakua angepunguza kimo na Mwakinyo angeliua kabisa ..Kama ilivyokua pambano la Kwanza la Anton Joshua na Kibonge Ruiz.
 
Back
Top Bottom