Mwakinyo amshinda Mnamibia, Tony Rashid apoteza mkanda kwa Msauzi

Mwakinyo amshinda Mnamibia, Tony Rashid apoteza mkanda kwa Msauzi

Pambano limeisha kwa ushindi wa TKO Hassan Mwakinyo akishinda round ya pili.
Nini nilichokiona. Indongo ni bondia wa uchochoroni tu. Hawa mapromota watuletee mabondia wanaoeleweka. Sio kama huýu toka namibia.

Kuna siku Classic alipewa bondia mlemavu kabisa. Mkono wake mmoja umepooza. Alitokea malawi.

Kama hawawezi kuleta mabondia basi wawapeleke wakapambane na mabondia sio hawa njaa.
 
Pambano limeisha kwa ushindi wa TKO Hassan Mwakinyo akishinda round ya pili.
Nini nilichokiona. Indongo ni bondia wa uchochoroni tu. Hawa mapromota watuletee mabondia wanaoeleweka. Sio kama huýu toka namibia.

Kuna siku Classic alipewa bondia mlemavu kabisa. Mkono wake mmoja umepooza. Alitokea malawi.

Kama hawawezi kuleta mabondia basi wawapeleke wakapambane na mabondia sio hawa njaa.
Sawa sawa kabisa mkuu,,, ngoja mdigo aanze kunya shiti
 
Pambano limeisha kwa ushindi wa TKO Hassan Mwakinyo akishinda round ya pili.
Nini nilichokiona. Indongo ni bondia wa uchochoroni tu. Hawa mapromota watuletee mabondia wanaoeleweka. Sio kama huýu toka namibia.

Kuna siku Classic alipewa bondia mlemavu kabisa. Mkono wake mmoja umepooza. Alitokea malawi.

Kama hawawezi kuleta mabondia basi wawapeleke wakapambane na mabondia sio hawa njaa.
Sijui ni nani tu ambaye huwa anwajibika kutafuta hawa opponents.
 
Pambano limeisha kwa ushindi wa TKO Hassan Mwakinyo akishinda round ya pili.
Nini nilichokiona. Indongo ni bondia wa uchochoroni tu. Hawa mapromota watuletee mabondia wanaoeleweka. Sio kama huýu toka namibia.

Kuna siku Classic alipewa bondia mlemavu kabisa. Mkono wake mmoja umepooza. Alitokea malawi.

Kama hawawezi kuleta mabondia basi wawapeleke wakapambane na mabondia sio hawa njaa.
Promota yeye, bondia yeye.
 
Hivi ni nani ambaye huwa anwajibika kutafuta hawa opponents? Sijawahi kuona mtanange wa kukata na shoka kutoka kwa huyu jamaa always kuna kumwaga na slope, Sasa kama huyo jamaa si mzee kabisa?
Kuna lile pambano moja tu na alidundwa ila wakamtangaza yeye mshindi mpaka akamtukana Rashidi matumla , lile tu mengine yote analetewa walevi
 
Tony kazingua round ya mwsho alikua kashashinda kwa point ila kashindwa tumia akili ya kumaliza pambano akaotewa
 
Tukiacha unafki, mwakinyo ni bora kwa bongo hii ( Zingatia hapa kwa bongo hii).
Ni chuki zetu tu, sababu ya maneno yake lakini hawa kina kiduku hata wakishusha weight atawadunda tu.
Ah wapi,, mwakinyo anachezea kwa kiduku
 
Back
Top Bottom