Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo sahihi maana bado alikuwa na nadasi ya kucheza pale refa aliposimamisha zile.ngumi.zilimkosa alizikwepa na alikuwa.ameshatoka alitaka aanze naye kushambulianmecheka jamaa anapoambiwa imekuwaje amepigwa kirahisi anakwambia mimi mwenyewe sielewi ila ntareview video nione ilikjwaje
Sure refa kazingua,why amalize mapema..hakuna ngumi za maana zilizompata mnamibia...aendelee kubebwa,wakienda nje wanapigwa.Ndio maana akiambiwa apambane hata pambano lisilo la mkanda na kiduku anakuwa mkali,kumbe anajua anakutanishwa na walevi wa komoni
Huo ndo uhalisia.Mwakinyo kabebwa!
Congratulations to him for retaining his African Boxing title
Amemtwanga kwa knockout bondia wa Namibia Julius Indongo
Pambano limeisha mida ya saa 6:15 usiku huu
Mgeni rasmi RC Tanga Adam Malima
Yaani refa wa ajabu sijawahi kuona au aliingia na.majibu yake? mwakinyo.anarusha makonde ambayo jamaa.anayekwepa yote halafu anamaliza pambano?Huo ushindi ni kwa hisani ya referee
Nje ana rekodi nzuri tu,sasa nashangaa,sijui ana zali la kukutanishwa na walevi pia,jamaa ngumi zake hazina nzoso kabisa hadi unashangaa anashindajeshindajeSure refa kazingua,why amalize mapema..hakuna ngumi za maana zilizompata mnamibia...aendelee kubebwa,wakienda nje wanapigwa.
Unamjua Muhammad Ali?Tatizo Mwakinyo anaongea sana sana ...Ngumi sio talalila..Hata kama Watu wanajua lakini hawachongi wanatulia vitendo vinaongea...
Amshukuru refa hakuna K.O hapoCongratulations to him for retaining his African Boxing title
Amemtwanga kwa knockout bondia wa Namibia Julius Indongo
Pambano limeisha mida ya saa 6:15 usiku huu
Mgeni rasmi RC Tanga Adam Malima
Ameshinda kwa akili sana maana round karibia zote alipigwa, na Tony alikuwa anaongoza gameBongani anakimbia uwanja mzima!!
kiduku 108, mbabe 111Mkuu, hawa kina kiduku ni wa ngapi kwa uzito wao duniani?