jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
kwa sasa mwakinyo anaonekana kushinda maana anatupa makonde mazuri lakini hatujajua maana aliyepigana na tony alikuwa anakimbia kama nyami ila mwisho wa sikj kamuangusha mtu japo alivyoshinda wakawa wanamzngua wabongo wakamaindi kidogo kiwake azam wakawa wanaficha ficha kutangazaDuh tupe vp lkn unayoona apo kwa tathmini yako mkuu mana wengine tuko mbali,, mdigo atachezea au
Pamoja mkuukwa sasa mwakinyo anaonekana kushinda maana anatupa makonde mazuri lakini hatujajua maana aliyepigana na tony alikuwa anakimbia kama nyami ila mwisho wa sikj kamuangusha mtu japo alivyoshinda wakawa wanamzngua wabongo wakamaindi kidogo kiwake azam wakawa wanaficha ficha kutangaza
mwaminyo kishamuangusha mtu hukuNaskia yowe huko banda umiza vipi mtu kaisha chezea vikombe nini?
Duh poa mkuu
Vipi ana ng'ata nini?Huyu bondia kweli jamani?
Daah kamalixa game tayari mara hii?Mwakinyo ameshinda Kwa TKO!!
Hongera sana.
Pambano linaendelea?mwaminyo kishamuangusha mtu huku
Mwakinyo hongera umeshinda ila kiukweli umeletewa mlevi tu hapa wala hakuna bondia ,ulikuwa unapigana na ndiziHuyu ni mstaafu sio bondia hassan aache uhuni
Ameshashinda mtt wa kitangaPoa,, tupeni yanayojiri
Mwakinyo amejitoa kua chini ya upromota wa Kina Kelvin Twisa,Sasa anajiandalia mapambano chini ya Co. Yake anayoimiliki.Alisema Promota wanamnyonya,ye anaweka viingilio va 100,000 huko Nani aje sasa.Yeye (Mwakinyo)huwa hatoi ushirikiano kwa wenzake ndio maana wamemtenga.
limeisha tayar hilo lilikuwa linataka kutokea kwenye pambano la tony walivyotaka kumchukulia jamaa gloves zakePambano linaendelea?
Yasije yakawa ya dula mbabe kumuangusha twaha afu mwisho wa siku akapigika vile vile
Analetewa wauza utumbo huyo,,, ngoja tutukanwe sasaAmeshashinda mtt wa kitanga