Mwakinyo anasulubiwa na watesi wake

Mwakinyo anasulubiwa na watesi wake

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Nampa pole Mwakinyo hapa ndo Tanzania

Mwakinyo amekuwa bondia mwanaharakati, ametetea maslahi ya bondia, ni kijana anajielewa

Mwakinyo amekuwa akigomea malambano ya kinyonyaji hadi viongozi wakubwa wa serikali walimfata akagoma

Mwakinyo alikataa kupigana Kwa ajiro ya gari CROWN akidai ina maslahi kidogo

Kuna mabondia wanakufa wakipigania malipo ya elfu 60

Soma Pia:
Pole Mwakinyo Kwa kuzaliwa Tanzania nchi yenye mazwazwa wengi watu wenye wivu na mafanikio ya watu. hapa ndo Tanzania ukidai haki zako wanakutia mjuaji na utatafutiwa namna ya kupotezwa

Umemthibiti kibaka aliyeingia getini bila taarifa wanasema eti alikuwa anaokota Nazi, yaani umeangushia gunia la misumari kwamba wewe ni katiri na muuaji vip walitaka huyo mwizi akuuwe wewe

Nasikia adhabu ya kifungo miaka 7 ndo inafuata ili ukae huko unyooke

Pole Mwakinyo,
 
Dogo hAma nchi afrika unataka watu wanyenyekee ama wajingajinga.
Cheki mbape alisepa
Thus why I have advised him to leave. Hapa Tanzania atapata matatizo makubwa mana ni kama watu wanaokula na matumbo yao kuvimba kupitia kuwanyonya maboksa wa ndondi, hawataki upigaji wao uguswe kwa namna yoyote..

R.I.P kijana yule aliefariki kwa kupigana ngumi kwa Tsh 30,000/-.
 
I advice Mwakinyo when this stupid case is over, he should seek for nationality in other countries...in Europe maybe

Astakafurilahi, Mawazo ya ubaguzi hayo..!

Huyu ni wetu tu hapa hapa haendi popote.!

Hawezi kutukimbia Sisi tuliomlea...alituita anko mara shangazi mara mama mdogo mara baba mkubwa, na tukamsaidia. Aende Wapi?
 
Astakafurilahi, Mawazo ya ubaguzi hayo..!

Huyu ni wetu tu hapa hapa haendi popote.!

Hawezi kutukimbia Sisi tuliomlea...alituita anko mara shangazi mara mama mdogo mara baba mkubwa, na tukamsaidia. Aende Wapi?
Mpo mnamsaidia hadi kummaliza
 
Hakuna bondia alliyependwa kwa muda mfupi jijini Tanga toka enzi za akina Bakari Mambeya kama Mwakinyo,kwa bahati mbaya amezingua mwenyewe baada ya kuendekeza ubabe pori.Ungefanya utafiti japo kidogo wa jambo unalojaribu kulitetea
 
Hakuna bondia alliyependwa kwa muda mfupi jijini Tanga toka enzi za akina Bakari Mambeya kama Mwakinyo,kwa bahati mbaya amezingua mwenyewe baada ya kuendekeza ubabe pori.Ungefanya utafiti japo kidogo wa jambo unalojaribu kulitetea
Huyo jamaa hajui ,mwaka jana Mwakinyo alimpiga dogo wa mafia boxing bila ya sababu ...Anataka mtaa mzima wamuogope ,akashauriwa anatukana.
 
Jamaa yako ana kesi nyingi sana ,ngoja utazisikia polisi Tanga wamemlea sana ...Kuna kesi mwaka jana alimpiga dogo wa mafiaboxing...Jamaa yako kazidi sana tulimpenda sana ila ana dharau ,anakifundishwa anaita watu maskini...
 
Ule msemo wa bora kuzaliwa mbwa ulaya una ukweli sababu mbwa wa ulaya anaweza kutoa wazo likakubaliwa.
Sio huku wajinga ni wengi wenye akili za mishumaa
 
Nampa pole Mwakinyo hapa ndo Tanzania

Mwakinyo amekuwa bondia mwanaharakati, ametetea maslahi ya bondia, ni kijana anajielewa

Mwakinyo amekuwa akigomea malambano ya kinyonyaji hadi viongozi wakubwa wa serikali walimfata akagoma

Mwakinyo alikataa kupigana Kwa ajiro ya gari CROWN akidai ina maslahi kidogo

Kuna mabondia wanakufa wakipigania malipo ya elfu 60

Soma Pia:
Pole Mwakinyo Kwa kuzaliwa Tanzania nchi yenye mazwazwa wengi watu wenye wivu na mafanikio ya watu. hapa ndo Tanzania ukidai haki zako wanakutia mjuaji na utatafutiwa namna ya kupotezwa

Umemthibiti kibaka aliyeingia getini bila taarifa wanasema eti alikuwa anaokota Nazi, yaani umeangushia gunia la misumari kwamba wewe ni katiri na muuaji vip walitaka huyo mwizi akuuwe wewe

Nasikia adhabu ya kifungo miaka 7 ndo inafuata ili ukae huko unyooke

Pole Mwakinyo,
Kupiga watu na kujeruhi ndo kusurubiwa na watesi wake? Utasema Mwakinyo alijeruhi mwizi,uko sawa lakini ni wapi dunia hii au nchi hii ambako sheria zinaruhusu mwizi kupigwa na kujeruhiwa? Unaruhusiwa kutumia nguvu kidogo ili kumdhibiti tu basi.Mwakinyo alishamdhibiti tayari.
 
Back
Top Bottom