Mwakinyo anasulubiwa na watesi wake

Mwakinyo anasulubiwa na watesi wake

Shida inayomsumbua mwakinyo ni ulimbukeni na ujeuri ndani yake mala nyingi amekuwa ni mtu ambaye anapatikana na makosa ya upigaji watu nakumbuka nilishafika katika hotel yake ya kuuza chakula nikasikia amempoga mtu mzima ambaye anaweza kumzaa kabisa na hiyo kesi ikaishia kifamilia na amekuwa na matukio mengi ya kufanana na hyo mbele ya majiran zake na watu wanaomzungula hii inepelekea kuchukiwa kabisa katika maeneo analoishi asipo jilekebisha kuna jambo baya linaweza kumkuta na kumpoteza kwenye ramani kabisa asije sahau ngoma ikuvuma sana hupasuka
 
Labda kweli ana makosa ila nilishangaa askari alivosema anakaribisha watu wengine wenye mashtaka kwa Mwakinyo waende kutoa ushahidi wao..
 
Back
Top Bottom