Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
Sijui kwa Nini nawachukia sana vibaka, kwangu Mimi Bora jambazi kuliko kibaka/mwizi. Yule dogo kwa maelezo yake tu inaonesho ni kibaka mzoefu na bila shaka mwakinyo alimkamata akiwa anaiba.
Wewe unaweza kuokota nazi shambani kwa mtu? Tena nazi 6?
Watanzania tumejaa unafiki mtupu, Leo hii nani anaweza kumkamata mwizi nyumbani kwake na akamuacha bila hata kumgusa? Nani asiejua ukatiri wa Hawa vibaka wakikutaiti? Raha yenu mlitaka msikie mwakinyo amevamiwa na vibaka wamemjuruhi kwa visu na mapanga ndio mfurahi?...!! Eeeh maana mngepata story ya kuondokea kwamba bondia Gani anapigwa na vibaka'!! Wanafiki wakubwa nyie....!!
Mwakinyo anakesi nyingi tu za kuibiwa vitu vyake hapo nyumbani kwake na ametoa taarifa mara kadhaa polisi na hata kwa mwenyekiti wa mtaa wake, amelalamika mara kadhaa kuibiwa betry za gari,vifaa vyake mazoezi na tairi za magari ,Tv n.k . Sasa nyie mnao mtetea kibaka mwenzenu ambae amekiri kuiba. punguzeni chuki kwa mwakinyo!! Hakuna mtu Tanzania hii ambae anaweza kumkamata mwizi wa mali zake alafu akamuacha hivi hivi hakunaaaa!!!!
Wewe unaweza kuokota nazi shambani kwa mtu? Tena nazi 6?
Watanzania tumejaa unafiki mtupu, Leo hii nani anaweza kumkamata mwizi nyumbani kwake na akamuacha bila hata kumgusa? Nani asiejua ukatiri wa Hawa vibaka wakikutaiti? Raha yenu mlitaka msikie mwakinyo amevamiwa na vibaka wamemjuruhi kwa visu na mapanga ndio mfurahi?...!! Eeeh maana mngepata story ya kuondokea kwamba bondia Gani anapigwa na vibaka'!! Wanafiki wakubwa nyie....!!
Mwakinyo anakesi nyingi tu za kuibiwa vitu vyake hapo nyumbani kwake na ametoa taarifa mara kadhaa polisi na hata kwa mwenyekiti wa mtaa wake, amelalamika mara kadhaa kuibiwa betry za gari,vifaa vyake mazoezi na tairi za magari ,Tv n.k . Sasa nyie mnao mtetea kibaka mwenzenu ambae amekiri kuiba. punguzeni chuki kwa mwakinyo!! Hakuna mtu Tanzania hii ambae anaweza kumkamata mwizi wa mali zake alafu akamuacha hivi hivi hakunaaaa!!!!