Mwakinyo anasulubiwa na watesi wake

Tanga ina historia ya mabondia kweli kweli kuliko mwakinyo..Haji pera..Hassani mzonge..fadhili keya..Bakari mambeya..marehemu Magoma shabani..Mohammedi Maqubel..bonzo mohammed..Kamote ..Hamisi mwakinyo saidi mundi wote hao hatukuwahi sikia wamefanya vituko wala kupiga watu.. tanga ni mji wenye amani watu wanaishi kindugu sana...hatujui undani sababu tumesikia upande mmoja subiri usikie utetezi wa mwakinyo usiishi kwa dhana kama ndugu yako ndio aliyetendewa vile ungependa kwa kua tu ni boksa anayetetea maslahi yake..hakuna mwenye chuki na mwakinyo wakazi wa tanga wanampenda sana boksa wao wana chuki na tabia zake!
 
Kuna mimi na ww lakin kuna mtu anaitwa kioo cha jamii
Sasa unapokua kioo cha jamii serikal inategemea ww uwe mfano kwa watu wengne wa kawaida

sasa kitendo alichofanya bondia ni kitendo cha kihuni na ufanywa na watu wasio kua kioo cha jamii

Serikal inategemea unapokua kioo cha jamii lazma ujue sheria na taratibu

Atukatai yule kijana ni mwizi kibaka ila shida inakuja ni jinsi gan kadeal na ilo suala

Kua mtu maarufu kuna faida na hasara zake na hasara ndo km izo
 
I advice Mwakinyo when this stupid case is over, he should seek for nationality in other countries...in Europe maybe
His only solution, aende hata kenya if budget itabana. Nyumban si pazuri for his business
 
Na wakasema,mwakinyo siyo wa kwanza kuishi hapo,alianza kuishi mzungu pale.Mwingine alisema hiyo.minazi iko nje ya eneo la Mwakinyo ni minazi ya babu yake.
 
Sahihi,mfano mzuri kuonesha watu wana mapenzi makubwa na Mwakinyo ni siku ya pambano lolote analocheza Mwakinyo,kumbi na vibanda umiza huwa vinafurika watu sana kupita kawaida.Watu wa Tanga wanapenda sana ndondi na soka,Wanatanga walikaa muda mrefu bila kupata bondia mkubwa kama ilivyokuwa zamani,baada ya kuibuka Mwakinyo watu walimpenda na bado wanampenda.
 
Kuna mimi na ww lakin kuna mtu anaitwa kioo cha jamii
Sasa unapokua kioo cha jamii serikal inategemea ww uwe mfano kwa watu wengne wa kawaida

sasa kitendo alichofanya bondia ni kitendo cha kihuni na ufanywa na watu wasio kua kioo cha jamii

Serikal inategemea unapokua kioo cha jamii lazma ujue sheria na taratibu

Atukatai yule kijana ni mwizi kibaka ila shida inakuja ni jinsi gan kadeal na ilo suala

Kua mtu maarufu kuna faida na hasara zake na hasara ndo km izo
 
Na wakasema,mwakinyo siyo wa kwanza kuishi hapo,alianza kuishi mzungu pale.Mwingine alisema hiyo.minazi iko nje ya eneo la Mwakinyo ni minazi ya babu yake.
Mwakinyo hapo anapoishi amepanga,hiyo nyumba ni ya mwanamke mmoja, nyumbani kwao Mwakinyo ni Makorora.Kupiga watu Mwakinyo hajaanza leo,hata huko kwao Makorora anatembeza kichapo kwa watu huku akilindwa kwa sababu ya jina lake
 
Very true ndio maana ukiwa na pesa nenda kaishi kwa wenye pesa wenzako, nimeona wale majirani zake wakitaka ahame inaonyesha kabisa yupo na watu sio class yake na hiyo inazalisha natural chuki
 
Na unapokua maarufu au mtu mwenye mafanikio makubwa ktk jamii sifa yako moja ni kujua watu wanakuwinda na watu wwng hawakupendi na wanakutaftia sababu za kukushusha
Sasa ni jukumu lako km mtu maarufu kujikinga na kua makini na watu wa aina iyo

Na ndo maana inashauriwa watu waarufu wawe na vijana wa kaz na kazi zao ndo km izo kupiga watu ata kesi ikitokea watashikwa vijana ila mwakinyo kawa mshamba anaenda kupiga yeye wenyewe badala ya kuachia vijana
 
Wewe nae ni tahira... Hivi hajui taratibu zinazofuatwa mtu ukiibiwa?. Kwamba mwakinyo yupo juu ya sheria?, Punguzeni upumbavu.....
 
Limpate analo stahili......haki itendeke ndio cha msingi.
 
Tatizo Mwakinyo hataka ushauri ,ukimwambia kitu anakuita maskini ...Jamaa ana mafanikio ya kawaida ila anajishtukia.

Anaona watu ni maadui zake wakati wanamuunga mkono kwa sana.
 
Tatizo Mwakinyo hataka ushauri ,ukimwambia kitu anakuita maskini ...Jamaa ana mafanikio ya kawaida ila anajishtukia.

Anaona watu ni maadui zake wakati wanamuunga mkono kwa sana.
Kama we ni masikini unataka ikwite vipi?
 
I advice Mwakinyo when this stupid case is over, he should seek for nationality in other countries...in Europe maybe
Mnaupa ushauri mbovu mwakinyo hamumsaidii! Mwakinyo ana matatizo na kila mtu? Kuanzia mapromota, mabondia wenzake, majirani zake hadi ndugu yake wa damu hawapatani! Ni bora mngemshauri apunguze ego yake maana inamharibia
 
Tatizo Mwakinyo hataka ushauri ,ukimwambia kitu anakuita maskini ...Jamaa ana mafanikio ya kawaida ila anajishtukia.

Anaona watu ni maadui zake wakati wanamuunga mkono kwa sana.
Ikiwa wajomba zake na ndugu zake wa damu hawako sawa unafikiri hapo kuna mafanikio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…