Mwakinyo anasulubiwa na watesi wake

Hakuna bondia alliyependwa kwa muda mfupi jijini Tanga toka enzi za akina Bakari Mambeya kama Mwakinyo,kwa bahati mbaya amezingua mwenyewe baada ya kuendekeza ubabe pori.Ungefanya utafiti japo kidogo wa jambo unalojaribu kulitetea
Hakufanya measurements & evaluation.... otherwise alikua kavuta bange.
 
Umeandika takataka nyingi
 
Mwakinyo watalaamu washamkalisha kitendo cha kurudi kijijini na kukaa katika lile ghofu hiyo Pekee nilijua wataalamu washamkalisha

Huo utalaamu pia wanao watu wa Bukoba wanaweza kukutoa Marekani na ukarudi kijijini ukawa unawatengenezea pombe na wanakutuma kubeba maji ya kuchanganyia Rubisi na kimpumu.

Yaani mtu aliyekuwa na brand kubwa na kioo cha Maswimbi Ila Leo hii anaishia kukumata wezi wa nazi kid

Something is wrong to Mwakinyo but Humbleness is key in life .
 
Mwakinyo bado udigo unamsumbua,ana ulimbukeni mwingi..
 
Watu hawaongelei case ambazo mwakinyo amekua anaripoti polisi kila mara za kuibiwa vitu vyake kama betri za gari, matairi, TV, vifaa vya michezo etc

Uyo dogo kajichanganya mnamtetea hapa, eti alkua anaokota nazi tena saa 11 alfajiri, heb acheni unafiki nyie watanzania

We kila siku unaibiwa vitu, then unastuka saa 11 asubuhi unamdaka mtu yuko nyumbani kwako anasema anaokota nazi au mapera utamuelewa???? Lazma akilini utajua ni mwizi tu kwanini asingesubiri kukuche aje akuombe hizo nazi umpe?

Yan mnamtetea mwizi? Hivi we umewahi kuibiwa au kuingia 18 za wezi? Usipomiwahi anakupoteza
 
Mabondia wengi hawana nidhamu ya maisha, kama alimkuta anaokota Nazi kwenye eneo lake yeye akiwa kama MTU maarufu si ndoangeonesha mfano wakufuata sheria
 
Ufanye ujinga wewe uanze kutafuta mchawi nani? Sawa na upige demu kavu upate miwaya afu useme umerogwa, utakua sio timamu.
 
Mabondia wengi hawana nidhamu ya maisha, kama alimkuta anaokota Nazi kwenye eneo lake yeye akiwa kama MTU maarufu si ndoangeonesha mfano wakufuata sheria
Duuuh ulitaka mwakinyo ndo auawe
 
Mwakinyo ana kaka yake hyo mwakinyo akiandaa pambano na yeye anaandaa siku moja wanajiita mafia boxing ila ndugu wa bongo na Africa kiujumla ni hatari.
 
tafuta kazi ufanye mkuu. Hakuna namna mwakinyo atakuja kusoma hapa ili akupe chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…