Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaweziHuyu mtoto anajeuri sana, mimi nimeshindwa kuvumilia.
Namuomba mwakinyo kubali kupigana na twaha Ili ujiweke fiti zaidi pambano lako na twaha litakupa nguvu zaidi Kwa mapambano yajayo njoo umpasue huyo tumechoka na madharau yake.
Bonanza hazinaga kipimo mkuu litakua ni BonanzaAnapigana vipi na uzito hawafanani?
Mwakinyo hawezi kubali apigwe bureBonanza hazinaga kipimo mkuu litakua ni Bonanza
Hakuna kinachoshindikana
Muone Mandonga kila kukicha anapigana kwenye maBonanza
Wabongo mna akili nye nye. Hivi hayo mabonanza ndo wakubali watu uzito tofauti wapigane? Unataka mtu azikwe?Bonanza hazinaga kipimo mkuu litakua ni Bonanza
Hakuna kinachoshindikana
Muone Mandonga kila kukicha anapigana kwenye maBonanza
Kwani kwa Malikia huko kapigwa bure kalipwa Siri anayo yeye nini kilichomkuta ila hajapigwa bure kuleMwakinyo hawezi kubali apigwe bure
Zitapigwa tuWabongo mna akili nye nye. Hivi hayo mabonanza ndo wakubali watu uzito tofauti wapigane? Unataka mtu azikwe?
Mandonga akapigane na Twaha kwanza 😂😂😂Kwani kwa Malikia huko kapigwa bure kalipwa Siri anayo yeye nini kilichomkuta ila hajapigwa bure kule
Na akipigana na Twaha haitakua bure ila atataka kuukata mzizi wa fitna km Mandonga alivyofanya baada ya kupigwa na Shaban Kaonekaa
Mandonga akipigana na Twaha asipokufa uwanjani Mimi niite Mbwa nimekaa paleeeeMandonga akapigane na Twaha kwanza 😂😂😂
Na ikitokea akakubari akapigana kisha akapigwa atalia mbele ya camera km yule aliekua shabiki lialia wa yanga alimaarufu km Steve atalia kishenzi yaan bonge moja la aibu dunia nzima 😂🤫Mwakinyo akikubali kupigana na Twaha mniite mbwa
Kwakuwa mmatumbi mwenzie hatamuweza, Ila angekuwa mzungu angemwacha ampige, Kama ya juz, kapigwa kimasihara.Huyu mtoto anajeuri sana, mimi nimeshindwa kuvumilia.
Namuomba mwakinyo kubali kupigana na twaha Ili ujiweke fiti zaidi pambano lako na twaha litakupa nguvu zaidi Kwa mapambano yajayo njoo umpasue huyo tumechoka na madharau yake.
Siku hizi watu hawafurahishi watu bali wanatazama maslahiHuyu mtoto anajeuri sana, mimi nimeshindwa kuvumilia.
Namuomba mwakinyo kubali kupigana na twaha Ili ujiweke fiti zaidi pambano lako na twaha litakupa nguvu zaidi Kwa mapambano yajayo njoo umpasue huyo tumechoka na madharau yake.