mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Siasa majitakaFumbo mfumbie mjinga mwerevu hung'amua.
Baadhi ya makamanda wa CHADEMA (hasa CHADEMA asilia) hawaitaki ndoa ya kisiasa kati ya Mbowe na Lowasa, sasa watoke vipi ni jinsi ya kuirudisha suala RICHMOND bungeni.
Mwakyembe naye kawatega waingie vichwa vichwa. Likiachwa kurudishwa bungeni, basi yatosha CHADEMA kuthibitishiwa kuwa waliyekuwa wakimtuhumu, kwenye majukwaa kuwa ni fisadi, kweli ni fisadi.
Hivyo hoja yao, ya kila siku kila akitajwa kuhusika na ufisadi, ati mwenye ushahidi atoe afikishwe mahakamani, haitakuwa na nguvu tena. Kwanza, kwa yeye kujiuzuru Uwaziri Mkuu, ilikuwa adhabu tosha kwa mtu mwenye uchu wa madaraka, kama yeye.
tatizo la humu jf, michagga imejaa tele ni kuteteana mpaka meno njano yanatoa jashoAliekua waziri wa katiba na sheria na akashindwa kumfunga Fisadi Lowassa.
Ufisadi wa jpm unaojaribu kutuaminisha hapa ni porojo ambazo ukiambiwa uthibitishe hutaweza, lakini kwa lowasa ni tofauti.......kamati teule ya bunge ilimwaga ushahidi wote ya ufisadi wake!Usipende kuweka mawazo yako kwenye mawazo ya wengine.
Ukiniuliza kuhusu Urais nitakujibu hivi,Siyo JPM wala Lowassa wenye uwezo wa kutuongoza.Kama kukosa CDM pamoja na CCM mliingia mkenge.Ni bora CCM wangemweka Chikawe au Judge Ramadhani lakini kwa JPM hamna kitu kuanzia Uongozi mpaka kicwani kwani anafikiria kwa Chuki,visasi na ubaguzi. Hope umenielewa.
Kama ufisadi Lowassa na JPM wote ni mafisadi wametajirika kutumia madeal na wizi wa pesa za Serikali hakuna msafi hapo.
It's obvious ...Mwakyembe hawezi kufanya lolote ....kama Waziri aliyekuwepo katimuliwa kwa kuunda tu tume mnategemea huyu achukue hatua gani kama si upinzani kukosa mbinu ya namna ya kumlazimisha mamlaka ya uteuzi kuchukua hatua ....unaibuaje hoja kama hii kwa mgongo wa issue ya aibu kama Richmond ambayo sasa inaleta ukakasi hata huko Chadema? ......Wabunge wa upinzani wanataka Mwakyembe ashughulikie suala la Makonda kwa mtindo uleule alioutumia kushughulikia kashfa ya Richmond.
..kama Mwakyembe aliweza kuhitimisha suala lile bila kumhoji Lowassa kwanini anashindwa kuhitimisha suala la kuvamiwa clouds bila kumhoji Makonda?
..hoja haipaswi kuwa Lowassa alionewa or not. Kwa maoni yangu hakuonewa.
..hoja ni kwamba Mwakyembe alitengeneza precedence ya kutoa hukumu bila kulazimika kumhoji mtuhumiwa namba moja. Precedence hiyo ndiyo wabunge wanataka Mwakyembe aitumie kwenye shauri la Makonda vs Clouds ambapo kuna ushahidi wa video.
..lingine ni kwamba Mwakyembe alikuwa waziri wa sheria. Sasa nini kilimzuia kipindi hicho kumfungulia mashtaka Edward Lowassa?
..tena Mwakyembe alikuwa akijitapa wakati wa kampeni kwamba jinai haifutiki. Kwamba Lowassa alitenda jinai hivyo ana kesi inamsubiri.
..kwa hiyo MWAKYEMBE kudai suala la richmond lirudi bungeni ni ULAGHAI tu. Suala hilo lilishamalizika bungeni na linapaswa kwenda Mahakamani.
Kha! Ndo mnamuita Dr huyo, mbona hoja zake hazina mashiko na hazistahili kuongelewa na mtu mwenye hadhi-cheti cha PHD achilia mbali nafasi aliyonayo ya uwaziri.
Sasa mnaifukua ya nini?Saa hizi itakuwa afterthought, uongo utatungwa azima yote 2020. Kama walishindwa kuweka wazi kipindi kile baasi.
Fukua makaburi kijanaMwakyembe sema ukweli , tunazo taarifa zote kuhusu safari yako ya Marekani , tunawafahamu hata waliokuwa wanakutembeza , walipogundua uongo wako wakakushiti , ulitumwa kufunika kombe , UNABISHA , NIFUKUE MAKABURI ? tena aliyekuwa anakuzungusha ni mlokole mmoja mwenye asili ya kiafrica , natoa wito kwa wabunge wa Chadema kuirudisha bungeni hoja hii , Mwakyembe atakimbia .
Chadema ina ushahidi wa ufisadi wa LowassaMkuu kuna kitu sikielewi hivi ina maana serikali inashindwa yenyewe binafsi kumburuza lowassa mahakamani mpaka upinzani eti wairudishe bungeni?? Kma lowasa ana machafu kafanya basi sheria ichukue mkondo wake ssa hivi vitisho toka 2015 mara ooh mahakama ya mafisadi sijui fisadi papa huku mahakama na polisi ni yenu ssa kumkamata mnaogopa nni???
Wanyakyusa ni kati ya watu wakweli sana, huyu Mwakyembe sijui ni wa aina gani! Ati naye ana Ph.D Kweli mtu akiingia siasa ukoo umtenge kwanza, siku akiacha siasa arejeshwe kwenye ukoo.Kumbe siasa inaendeshwa kwa unafiki na uongo.Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!
Ushahidi dhidi ya Lowasa ulikamilika ndiyo maana alitimuliwa kwenye Uwaziri Mkuu. Makonda bado Rc Mkoa wa Dsm, huoni tofauti hiyo?Namshangaa sana Waziri Mwakyembe eti hakumhoji Mh.Lowassa Kwa kuwa ushahidi dhidi yake ulikamilika.Kama ndio hivyo mbina Ushahidi dhidi ya Paulo Makonda nao ulikamilika? Bw.Mwakyembe wewe ni mwana Sheria kumhoji mtuhumiwa ni haki kisheria kutomhoji Mh.Lowassa ulikosea huo ndio ukweli je kwanini suala la Makonda unataka ahojiwe? Mbona nao ulikamilika? Kumbuka watanzania hatudanganyiki tumesoma kama we we Sheria tunaijua mkuu