Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Mkuu kuna kitu sikielewi hivi ina maana serikali inashindwa yenyewe binafsi kumburuza lowassa mahakamani mpaka upinzani eti wairudishe bungeni?? Kma lowasa ana machafu kafanya basi sheria ichukue mkondo wake ssa hivi vitisho toka 2015 mara ooh mahakama ya mafisadi sijui fisadi papa huku mahakama na polisi ni yenu ssa kumkamata mnaogopa nni???
 

Mpelekeni kwenye mahakama ya mafisadi. Mahakama imekaa bure tu.
 
Tanzania pekee ndo diploma holder na degree holder wana kiburi cha kutukana pHd holder ...mnataka msikie kitu mnachokipenda mazezeta akili zenu zipo matakoni hama.
 
Si mliunda Mahakama ya Mafisadi sasa mnashindwa nini kumshitaki ili hali mwenyewe alishasema mwenye ushahidi aende Mahakamani?
Kwa hivo chadema hawakuwa na ushahid wa ufisadi wake?
 
Hahah mkuu haupo siriaz, Bashite aende ukawa alafu aitwe shujaa!!?? Nadhani mkuu haupo sawa
 
Mbona ukweli unajulikana toka zamani kuwa ukweli wa ufasadi wa Richmond ungetolewa kama inavyotakiwa,Lowassa asingekuwa mbuzi wa kafara wenye Richmond wangeweza kuwajibika na Richmond Yao.
 
Hii kali, safi sana Waziri unajua awamu hii itanyoosha tu na wanajua

Natega sikio kusikilizia na kukodoa macho nione watajibuje au ndio watakaa kimyaaa

Ha ha ha haaaaaa


Hapa kazi tu
 
Teh, naona unataka ndoa ya chadema na lowassa ife
 
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.

Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!
Kwani Mahakama.ya mafisadi imefutwa?
 
Hapa anayetetewa ni Daudi Albert Bashite na wala si suala la Richmond!!
 
Huu upuuzi wa wanasiasa uchwara wa kucheza na Akili za wadanganyika naona unazidi kukita mizizi kwa viongozi wa serikali ya awamu hii! Yaani badala ya kuishauri serikali suala la Richmond lipelekwa mahakami yeye analeta upuuzi wa siasa za majitaka eti lipelekwe tena bungeni!!!!
 
Kwa mara ya kwanza Chadema wataanza kuitetea Richmond...
Mkuu ulisoma hotuba ya waziri kivuli mnyika kuhusu maazimio ya bunge kuhusu richmond??? Hivi na wwe unaamini chadema wangemchukua lowassa kama wanajua mwisho wa siku HE IS A CRIMINAL na atakamatwa??? R they that dumb???

Najua humkubali lowassa ila ukiweka ushabiki pembeni na ukiangalia kwa picha kubwa utagundua ukweli wa mambo
 
Inamaana mahakama ya mafisadi mtafugia popo mpaka lini??

Mwakyembe akili yake ilinyonyoka na zile nyusi kipindi kilee.
Ubongo ulitikiswa kidogo kha maana haya majibu ndivyo sivyo. Arudishe Richmond kama Lowassa atakutwa na hatia sheria ichukue mkondo wake sio kufichiana maovu. Bashite likewise!
 
Acha hasira! Rudisheni hoja bungeni vinginevyo ninyi ni ndumi la kuwili.
 
Yaani wakati Lowassa yupo Bungeni alisema mambo nusunusu, leo Lowassa hayupo Bungeni anajidai jambo lirudishwe Bungeni. Hivi alipokuwa Waziri wa Sheria si ndiyo ilikuwa nafasi yake ya kulimaliza suala hilo kwenye Mahakama ya Mafisadi ambako ndiko na Lowassa angepata nafasi ya kujitetea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…