Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuze, hajui humu kuna majukwaa tofauti tofautiMkuu acha kutokwa povu, jadili.
Hivi unadhani kwa nini kulikuwa na majukwaa tofauti tofauti!? Sio lazima nipost siasa all the time au nipost what you want, upo hapo nigga
Kwa hivyo una kubaliana na mimi kwamba kwenye vyama vyetu hakuna msafi siyo?
Watu kama ninyi ni hatari kwa taifa hili kwasababu zenu za kiitikadi. Hajasema kibaya hapo kama kweli wanaona kuna uonevu kwanini wasirudishe hilo suala bungeni????Kha! Ndo mnamuita Dr huyo, mbona hoja zake hazina mashiko na hazistahili kuongelewa na mtu mwenye hadhi-cheti cha PHD achilia mbali nafasi aliyonayo ya uwaziri.
My take: Atumwe India kwa matibabu haraka sana, mana naona ile sumu imekula kaubongo kaliko kabakia kazima kale daaah
Nitafurahi watuhumiwa wote wa Richmond wakifikishwa mahakama ya mafisadi mliyokata mauno tz nzima kutangaza kuwa ndiyo kipaumbele chenu.Usitukane mkunga uzazi ungalipo. Na siamini mtu mzima unaweza kuandika maneno ya kebehi kama hayo, hata kama mtu unamchukia!!
Ndiyo! Hata Sumaye pia maana alikuwa waziri mkuu kipindi nyumba za selikali zinauzwa!
Sumaye una muweka kundi gani kwenye hilo la nyumba za selikali? Maana ndio alikuwa waziri mkuu!JPM kauza nyumba za serikali kwa bei chee pamoja na kugawa nyumba za serikali kwa hawala zake. Kanunua kivuko kibovu kwa bei za kifisadi bilioni 8 ili hali report ya CAG bei yake ni chini ya bilioni 5. Ufisadi ktk wizara ya ujenzi kipindi yuko Waziri wa ujenzi
Sasa kwanini msimpeleke mahakama ya mafisadi na mwisho wa cku afungwe jela why mnalialia wakati uwezo huo mnao ukizingatia mnao ushahidi wa kutosha je kipi kinawakwamisha mwaka wa 9 huuNdio maana nikasema jk na el wote wanahusika, lile ni dili la el na na jk. Hata hela mlizotumia kwenye kampeni 2015 zilikuwemo pia za richmond!
Yeye mwakyembe cjui kiembe gani uko!! Yeye ni waziri na ndio wenye serikali kama kweli anaona ipo haja ya Richmond kujadiliwa anashindwa nn kupeleka hiyo hoja bungeni mpaka awaulize Chadema? Kwahyo yote anayoyapeleka bungeni anawauliza kwanza chadema au ndo unafiki???
Ika kumtetea na kumdekia EL barabara kuna hitaji uwe na akili ya nini?Nitafurahi watuhumiwa wote wa Richmond wakifikishwa mahakama ya mafisadi mliyokata mauno tz nzima kutangaza kuwa ndiyo kipaumbele chenu.
Kumtetea Mwakyembe inahitaji uwe na akili ya maiti.
Soma mantiki ya hoja yangu. Na Mpaka leo CHADEMA ndiyo wanataka Lowassa apelekwe Mahakamani na si CCM!!Teh, acha kujichanganya mkuu unajiabisha. Sasa ilikuwaje wampe tiketi ya kwenda ikulu huyo mtuhumiwa?
Huoni kama chadema hawajitambui?
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!
Ujasiri wa kusema wameficha baadhi ya taarifa kwenye report kuilinda serikali?IPELEKWE TU HIYO HOJA. KWANI NANI ANAPENDA KUTETEA WATU MAFISADI.
MIMI BINAFSI NILIMSIFU SANA DR MWAKYEMBE THAT TIME WAKATI ANAWAKILISHA ILE HOJA KAMA MW/KTI WA KAMATI.
STILL BADO NAMSIFU KWA ULE UJASIRI.