Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

we jamaa una akili fupi sana CHADEMA ndio waliosambaza habari za ufisadi wa Lowasa kwa miaka nane kuhusu Richmond...na tume ya Mwakyembe ikadhibitisha ufisadi wa Lowasa.......sasa hiyo ya kusema Lowasa hausiki na Richmond ushahidi wake uko wapi?
Si ndio nmesema kwa vyombo vilivyofanya uchunguzi ni vya kiserikali so its obvious wakamtoa lowassa rehani ili lawama zisiwe kwa JK maana wao ccm waliona ingeidhalilisha taifa....... ssa kwa kuwa ndio ripoti iliokuwepo wapinzani wamgewezaje kujua jinsi gani am kivp lowassa kahusioa na kikwete hahusiki??? Kma ni hivyo mbona wapinzani mpaka leo hawajui waliochukua pesa kupitia stanbic?? Je huoni ni cover up za serikali kulinda watu flani hasa ikulu????

What i know wapinzani walifanyia kazi taarifa zilizokuwepo which in turn source yake ni serikali yenyewe ila by now we all know lowasa hakuweza fanya bila kikwete kujua no wonder mahakamani hapelekwi maana atadhalilika huyo mzee wa msoga
 
Si ndio nmesema kwa vyombo vilivyofanya uchunguzi ni vya kiserikali so its obvious wakamtoa lowassa rehani ili lawama zisiwe kwa JK maana wao ccm waliona ingeidhalilisha taifa....... ssa kwa kuwa ndio ripoti iliokuwepo wapinzani wamgewezaje kujua jinsi gani am kivp lowassa kahusioa na kikwete hahusiki??? Kma ni hivyo mbona wapinzani mpaka leo hawajui waliochukua pesa kupitia stanbic?? Je huoni ni cover up za serikali kulinda watu flani hasa ikulu????

What i know wapinzani walifanyia kazi taarifa zilizokuwepo which in turn source yake ni serikali yenyewe ila by now we all know lowasa hakuweza fanya bila kikwete kujua no wonder mahakamani hapelekwi maana atadhalilika huyo mzee wa msoga
achene kujidhalilisha tume ya Mwakyembe mbona haikumtaja Kikwete? CHADEMA mbona hawakumtaja JK walikomaa tu na Lowasa ? achene upumbavu bana
 
achene kujidhalilisha tume ya Mwakyembe mbona haikumtaja Kikwete? CHADEMA mbona hawakumtaja JK walikomaa tu na Lowasa ? achene upumbavu bana
Kwani escrow walimtaja kikwete??? There is no way wangemtaja rais maana angejiuzulu rais nchi irudi kwenye uchaguzi???? Ccm couldnt do such a mistake but wote mnajua hakuna dili ikulu haihusiki hao wakina mwakyembe wanaweka mzigo kwa lowassa na watendaji wengine ila ukweli ni kwamba mkimburuza lowasa mahakamani ndio siku mtajua uhusika wa kikwete

Chadema wapi hatukumtaja kikwete?? Obviously kila ufisadi nchi hii kikwete ana mkono ndio maana list of shame akawekwa...... madili yote kuna fungu linaendaga ikulu rejea katibu wa ikulu gurumo kupewa mabilioni na rugemalira !!!!!

Lowasa alishajiuzuru toka 2008!! Ina maana ufisaidi uliisha?? Kma ufisadi hukuisha unawezaje anza msafisha kikwete???

Anyway lets cut the story short nachoomba mwakyembe apeleke kesi mahakamani sio bungeni ili ushahidi wote ukamwagwe huko na kwa kuwa lowassa hatokuwa tayari kufungwa kwa kigezo cha kutunza ''siri za serikali'' hivyo ndio atafunguka na jambo hili litafika ukingoni
 
Kwa hiyo usiwasingizie Chadema! kama nimekwambia mtu fulani ni mwizi kwa muda wa miaka 8 na una majeshi ya kuweza kumkamata ukashindwa kufanya hivyo, who are you blaming then? don't be an idiot..
You are an imbecile. Mnaolalamika kuwa alionewa ni CDM. CCM tulimkata kwa sababu tulikuwa na ushahidi wa yeye kutokuwa Mwadilifu. Ninyi mnaolalamika leteni hoja
 
Wanasiasa wanacheza na akili za watanzania..

Si unaonaeee...! na ndio maana hakuna haja ya kuweka bunge live, maana unaweza kutapika siku nzima kwa ujinga wa watu wachache wanaofikiri kwa kutumia MAKALIO. Nadhani ukipeleka biashara ya kanga tena zenye maneno ya mipasho, italipa sana maana watavalina kila kukicha Limekuwa sio bunge la bajeti tena bali ni bunge la maneno/mipasho. HEBU PATA PICHA MZEE MBOWE KATINGA KHANGA YAKE BUNGENI [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kha! Ndo mnamuita Dr huyo, mbona hoja zake hazina mashiko na hazistahili kuongelewa na mtu mwenye hadhi-cheti cha PHD achilia mbali nafasi aliyonayo ya uwaziri.
Sasa na wewe mfua bendere wanayojifutia wenzako...! Unaona huyo nasari ndio kaingia point. Hoja ya kutokuhojiwa ilishapatiwa majibu tangu bunge na 2008. Na mzee alipoona maji ni marefu akaachia ngazi tena KWAKUJIUZULU. angeendelea basi kuutetea ule uwaziri wake kwa hoja nae ahojiwe ndio mgemjua Mwakyembe ni nani. [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Mwakyembe anatupa taarifa rasmi kuwa alidanganya binge wakati ule halafu kuna ndugu wanamshangilia!! Wa TZ!!?!!
Sasa wewe ulitaka wanune kama ulivyonuna wewe? Tena kwa taarifa Mimi naona hasira zako zilikuwa hazijaisha ilitakiwa UNYE BARABARANI ndio ungekuwa umemaliza hasira zako. vinginevyo hii kitu itakusumbua sana. [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Siasa absolutely ni sayansi, and vice versa
Hivi nani yupo yuko tayari kumpunguzia kura kipenz cha wala ngada, japo hawez kushinda, lakin cdm hawako tayari kupunguza kura zake
 
Upinzani hawana uwezo huo
Sasa mtu mwenyewe alieanzisha hiyo hoja kipindi hicho alikuwa bado anawinda ndege kwa urimbo. Leo hii na hoja kama hiyo ataiweza wapi. Upinzani wanatabia ya kujipanga kabla hawajaleta hoja au kuzungumzia jambo fulani bungeni mimi ninawasiwasi hili jambo nasari kazuka nalo yeye mwenyewe na POMBE zake za OFA. [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hii serikali ijiuzulu tu.

Yaani wao ndio wameshika dola na wao ndio waliofunga huo mjadala Bungeni alafu leo ndio wanaowataka wapinzani waibue swala hilo badala ya kutekeleza maazimio ya Bunge au kufungua kesi Mahakamani.

Pathetic!
Kesi ya nini. Kumshitaki marehemu. Lini ulishaona mfu akashitakiwa? Tuwache bana sisi tufanye mambo mengine ya msingi.
 
Mchumia tumbo atatega nini zaidi ya kuwatetemekea wanaolijaza tumbo lake? Anachoweza ni kupanua koromeo !!!
 
Kwa mara ya kwanza Chadema wataanza kuitetea Richmond...
Hahahaaaa...! Kama walithubutu kumsafisha muhusika na kufikia kumpa nafasi ya kugombea urais kwa makubalino ya fedha...! Itakuwa kuitetea Richmond...! Hao ndio CHADEMA bana wanaweza kuaminishwa na mtu mmoja tu akawaambia huu ni Ugali tena ni mtamu mno, nao wakaanza kuula na baada ya kumaliza wakamsifia aliyewaambia kuwa ule ulikuwa ni ugali hali wakijua kabisa walikuwa wanakula MAVI TENA YA MTU. [emoji38] [emoji40] [emoji38] [emoji40] [emoji38] [emoji40]
 
Mwakyembe ataleta ukweli gani tena mwingine wakati amekiri yeye mwenyewe bungeni tena waziwazi kuwa hakumpa Lowasa natural justice ya kusikilizwa?
Utasikilizwaje wakati aliambiwa achague mawili, kujiuzulu au kushtakiwa! Angechagua kushtakiwa basi angepata nafasi ya kumwaga mchele hadharani na kujisafisha - ilmuradi awe na ushahidi , yeye akaamua kukimbia. Ingawa hivyo hata sasa anao uhuru wa kufungua mashtaka ili ajisafishe, ningekuwa mimi nisingekubali kuchafuliwa halafu nikae kimya, hata mahakama ya dunia ningeenda.
 
Back
Top Bottom