Hapo ndio zito anapowapiga upofu. Tuseme anatumwa na TISS, je anayoongea ni SAHIHI au sio sahihi?Vipi kama hao TISS wanayomwambia ni kweli mfano kutembea na mke wa marehem, je huoni kuna ttz?Yani Tiss iburuzwe mahakamani
Namimi swala la Tanzanite naunga mkono. Mtu kama hatendewi haki na gazeti flani kwanini haendi mahakaman?Badala yake naye anakuja mitandaoni kutoa shutuma zake. Haki inatolewa mahakaman sio kwenye page za social networks.
Wanaenda wahusika. Serikali haiwez wala haiwajibiki kwa vyovyote vile na habari binafsi za Mtu. Kama unadharirishwa ni wewe kwenda mahakaman na kudai HAKI na sio serikali iende mahakaman kusema Zito anadharirishwa. Huyo zito ndio aende mahakamanMagazeti ambayo huwa yanafungiwa na serikali, ni nani ambaye huwa ameenda mahakamani? Wendawazimu mtupu!
ipo siku atakuja kupotea yeye.alafu na sisi tutakaa kimya.
Fuatilia, kuna taratibu za kutoa malalamiko. Na magazeti mengi unayoona yalifungwa yalitangulizwa barua za onyo. Idara husika ilifuata taratibu. Serikali haiwajibiki kwa vyovyote vile na habari binafsi za Mtu. Zito sio serikali kwamba msemaji wa serikali atolee maelezo,Huyo zito aende mamlaka husika.Yale magazei yaliyowahi kufungiwa walalamikaji ambao ni serikali walikwenda Mahakama ipi kulalamika kisha ikatoka hukumu ya kuyafungia???
Kwanini serekali huyafungia magazeti kwa kigezo cha kukiuka taratibu za uandishi, kwanini nayo isiyapeleke mahakamani??Namimi swala la Tanzanite naunga mkono. Mtu kama hatendewi haki na gazeti flani kwanini haendi mahakaman?Badala yake naye anakuja mitandaoni kutoa shutuma zake. Haki inatolewa mahakaman sio kwenye page za social networks.
Hakika na anathibitisha kwamba kuna kitu hakiko sawaWaziri wetu huyu ni mkali sana.
Umesema haki ipo mahakamani bwana.Fuatilia, kuna taratibu za kutoa malalamiko. Na magazeti mengi unayoona yalifungwa yalitangulizwa barua za onyo. Idara husika ilifuata taratibu. Serikali haiwajibiki kwa vyovyote vile na habari binafsi za Mtu. Zito sio serikali kwamba msemaji wa serikali atolee maelezo,Huyo zito aende mamlaka husika.
Umeshasema yamekiuka taratibu na serikali ina mamlaka ya kuyafungia magazeti pale yanapokiuka taratibu. Sasa kwa Zito Gazeti limekiuka taratibu gani?Hayo malalamiko kampelekea nani?Au huko tweeter na fb ndio Serikali iliko?Kwanini serekali huyafungia magazeti kwa kigezo cha kukiuka taratibu za uandishi, kwanini nayo isiyapeleke mahakamani??
Dr Mwakyembe ataka watu waache kuuliza alipo Azory Gwanda.
Na:Maregesi Paul, Dodoma
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amewashangaa watu wanaofuatilia mahali alipo mwandishi wa habari Azori Gwanda.
Dk Mwakyembe ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2019/20.
Amesema kwamba pamoja na kwamba watu wengi wanataka kujua alipo Gwanda lazima waelewe kwamba eneo alilopotelea mwandishi huyo walipotea watu wengi wakiwamo viongozi wa Serikali.
Kutokana na hali hiyo Waziri huyo amesema watu wasiendelee kufuatilia mahali alipo mwandishi huyo kwa kuwa hilo ni suala dhaifu.
Dk Mwakyembe aliyasema hayo bungeni leo alipokuwa alihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2018/20.
“ Pamoja na hayo Serikali itaendelea kudhibiti watu wanaokiuka utoaji wa maoni kwa kuwa hakuna uhuru usiokuwa na mipaka,”amesema Dk Mwakyembe.
Katika hatua nyingine Waziri huyo amewataka watu wanaokashifiwa na magazeti wakalalamike mahakamani kwa kuwa ndiko haki inakopatikana.
Source:Mtanzania Online
Dr Mwakyembe ataka watu waache kuuliza alipo Azory Gwanda.
Na:Maregesi Paul, Dodoma
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amewashangaa watu wanaofuatilia mahali alipo mwandishi wa habari Azori Gwanda.
Dk Mwakyembe ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2019/20.
Amesema kwamba pamoja na kwamba watu wengi wanataka kujua alipo Gwanda lazima waelewe kwamba eneo alilopotelea mwandishi huyo walipotea watu wengi wakiwamo viongozi wa Serikali.
Kutokana na hali hiyo Waziri huyo amesema watu wasiendelee kufuatilia mahali alipo mwandishi huyo kwa kuwa hilo ni suala dhaifu.
Dk Mwakyembe aliyasema hayo bungeni leo alipokuwa alihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2018/20.
“ Pamoja na hayo Serikali itaendelea kudhibiti watu wanaokiuka utoaji wa maoni kwa kuwa hakuna uhuru usiokuwa na mipaka,”amesema Dk Mwakyembe.
Katika hatua nyingine Waziri huyo amewataka watu wanaokashifiwa na magazeti wakalalamike mahakamani kwa kuwa ndiko haki inakopatikana.
Source:Mtanzania Online
Huyu Dr wa hovyo kabisa angekua alinifundisha ningerudisha degree yaoDr Mwakyembe ataka watu waache kuuliza alipo Azory Gwanda.
Na:Maregesi Paul, Dodoma
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amewashangaa watu wanaofuatilia mahali alipo mwandishi wa habari Azori Gwanda.
Dk Mwakyembe ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2019/20.
Amesema kwamba pamoja na kwamba watu wengi wanataka kujua alipo Gwanda lazima waelewe kwamba eneo alilopotelea mwandishi huyo walipotea watu wengi wakiwamo viongozi wa Serikali.
Kutokana na hali hiyo Waziri huyo amesema watu wasiendelee kufuatilia mahali alipo mwandishi huyo kwa kuwa hilo ni suala dhaifu.
Dk Mwakyembe aliyasema hayo bungeni leo alipokuwa alihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2018/20.
“ Pamoja na hayo Serikali itaendelea kudhibiti watu wanaokiuka utoaji wa maoni kwa kuwa hakuna uhuru usiokuwa na mipaka,”amesema Dk Mwakyembe.
Katika hatua nyingine Waziri huyo amewataka watu wanaokashifiwa na magazeti wakalalamike mahakamani kwa kuwa ndiko haki inakopatikana.
Source:Mtanzania Online
Serekali ndo inayosema kuwa yamekiuka taratibu wa habari kama zito anavyo tuhumu pia.Umeshasema yamekiuka taratibu na serikali ina mamlaka ya kuyafungia magazeti pale yanapokiuka taratibu. Sasa kwa Zito Gazeti limekiuka taratibu gani?Hayo malalamiko kampelekea nani?Au huko tweeter na fb ndio Serikali iliko?
Namimi swala la Tanzanite naunga mkono. Mtu kama hatendewi haki na gazeti flani kwanini haendi mahakaman?Badala yake naye anakuja mitandaoni kutoa shutuma zake. Haki inatolewa mahakaman sio kwenye page za social networks.
Hizo ndio tunaita ramli, kwamba hata mahakaman hujawahi enda unasema Mahakama zinapindisha sheria. Leo hii zito anaandikwa uchafu wake badala ya kumburuza mahakaman mhariri anakimbilia tweeter au fb kutoa shutuma zake naye.Oooh anatumwa TISS, Tuseme kweli anatumwa na TISS, je anayoongea ni SAHIHI au sio sahihi?