Yaani aache kuoa mtu ampendae kisa ndugu zake[emoji57]aliemwambie aoe nuksi Nan kisilani Cha kusalimiwa na kilungu malkia na Mwl bado wanacho
Harry hawawezi kumfanya chochote kwasababu ya damu yake ya kifalmeKuna wakati nilikua nipo interested sana kusoma na kuangalia movies na series nyingi sana zinazo husu utawala wa kifalme wa uingereza
Hawa jamaa hawataki kabisa maaihara ya kuvuruga utawala wao
Just imagine kilicho mkuta Diana
Jamaa ajiangalie sana
Ndio hivyo mkuuHarry hawawezi kumfanya chochote kwasababu ya damu yake ya kifalme
Ila Meghan na watoto watakaozaliwa ndio wanaweza kutengenezewa hata ajari wakafariki
Ampendae wapi bwana kaamua kuweka historia yako ndani yafamilia ya malkia na siku tutakuja sikia kamtema au anamsongo wamana anahtaji ukaribu wa watu (ulinzi)Yaani aache kuoa mtu ampendae kisa ndugu zake[emoji57]
Usiufate moyo, huyu jamaa ana wivu kisa hatapata nafasi ya kuwa mfalmeAmekosea kwa kuusikiliza Moyo wake unataka nini?
Kwamba aoe Mtu wa asili yake ili kuwafurahisha Ndugu na siyo Nafsi yake?
Mama yake ina maana alikuwa hafanyi kazi.?Kwa hiyo ndo kusema kajisomesha tangu akiwa mdogo, hana ndugu wala rafiki?
You're hopeless..Harry kajiharibia mwenyewe kuoa mtu tofauti na asili yake
Hary ni mtukutu balaa sijawahi ona ,Yani mtu anaacha hadhi ya mwanaufalme unaenda kukaa mbali na familia yako yenye Kila kitu kisa mwanamke aisee inasinitisha sana.Sijui mwisho wake itakuaje ingawa ana Kila kitu kwenye maisha lakini alibugi SanaHarry alimwalika William na mkewe pamoja na watoto wake katika tafrija ya siku ya kuzaliwa kwa mtoto Lili.
Lakini William na familia yake hawakutokea kabisa. Inaelekea bado kuna mvutani kwenye hiyo familia ya kifalme. Harry na mkewe ilibidi warudi US siku ya Jumapili baada ya kuhudhuria sherehe ya Malkia nako waliwekwa kwenye sehemu ya watu wenye status ya pili siyo kama ilivyokuwa zamani alipokuwa anakaa pembeni ya kaka yake.
Huyu kijana siku Meghan akimwacha atahitaji maombk ya Ngwajima ili asije jimurder
View attachment 2253294
Hapana inaweza usiwe kweli coz huu ufalme umeshuka hadhi na waingereza wengi hawausapoti kama zamani Sasa malikia anachokifanya anajalibu kuweka sheria Kali ili Hawa wanaufalme wawe na maadili makubwa ili ufalme uendee kuwavutia walipa Kodi wa Uingereza ,hata kama ni wewe ungefanya hivo.Bibi ana roho mbaya sana Ndio maana hata watoto wake aliowazaa ndoa zao ziliharibika
Anaingilia sana maisha yao especially wakiwa mezani wanakula pamoja
Haya ni maneno ya watu waliofanya kazi Buckingham palace na pia waliokuwa karibu na kina Diana na Sarah Ferguson
Hao ndugu wanne Charles,Anna, Edward na Andrew angalia maisha yao
Queen Mother ndio alikuwa mzuri sana kwa tabia na msikivu sana na yeye ndio alikuwa anawaweka pamoja ila mwanae Malkia ndio vurugu
Anaweza kuishia kwenye dipresion .Hakuna kitu inawauma waingereza kama hiyo,
Hapo Maana yake Prince George siku moja akiwa mfalme,atakuwa na cousins wenye asili nyeusi,
Kwani hata Diana alichotaka kufanya kwa william,half brothers au sisters wangekuwa waarabu,wakamuondolea mbali..
Alafu Mambo mengine huwa hayafanywi na hao direct,ni member wa crown,wanalinda ile asili yao kuliko mboni ya jicho..
Na hivi william ana watoto kibao sasa hata line succession ya harry haipo tena,ndio maana wanamchukulia poa tu,
Nina uhakika mwisho wa harry hautokuwa mzuri,madada wa kimarekani ni wehu,
Toka hapo huyo meghan n kama hamtambui baba yake kumzaa,analialia tu kila siku kwenye media
Hapana inaweza usiwe kweli coz huu ufalme umeshuka hadhi na waingereza wengi hawausapoti kama zamani Sasa malikia anachokifanya anajalibu kuweka sheria Kali ili Hawa wanaufalme wawe na maadili makubwa ili ufalme uendee kuwavutia walipa Kodi wa Uingereza ,hata kama ni wewe ungefanya hivo.
Harry alimwalika William na mkewe pamoja na watoto wake katika tafrija ya siku ya kuzaliwa kwa mtoto Lili.
Lakini William na familia yake hawakutokea kabisa. Inaelekea bado kuna mvutani kwenye hiyo familia ya kifalme. Harry na mkewe ilibidi warudi US siku ya Jumapili baada ya kuhudhuria sherehe ya Malkia nako waliwekwa kwenye sehemu ya watu wenye status ya pili siyo kama ilivyokuwa zamani alipokuwa anakaa pembeni ya kaka yake.
Huyu kijana siku Meghan akimwacha atahitaji maombk ya Ngwajima ili asije jimurder
View attachment 2253294
Itakuwa ana kinyongo fulani hivi...kama angetendewa sawa sidhani kama angefanya hivyoHary ni mtukutu balaa sijawahi ona ,Yani mtu anaacha hadhi ya mwanaufalme unaenda kukaa mbali na familia yako yenye Kila kitu kisa mwanamke aisee inasinitisha sana.Sijui mwisho wake itakuaje ingawa ana Kila kitu kwenye maisha lakini alibugi Sana
Vipi kuna maelezo yameandikwa humu jukwaani kuwa hana mama, baba wa kambo mwenye kujali au watu wengine ambao wanaweza kumsaidia!?Kwa hiyo ndo kusema kajisomesha tangu akiwa mdogo, hana ndugu wala rafiki?
Mnakosea sana, ndoa si suala lako bali la kiukoo. Urafiki ndiyo wako ila ndoa ni ya kifamilia zaidi.Yaani aache kuoa mtu ampendae kisa ndugu zake[emoji57]
Nimeenda kumcheki Amber naona Meghan anavutia zaidiAma kweli uzuri ni neno pana...Amber
Amber anamzidi Meghan. Meghan hana nyama nyamaNimeenda kumcheki Amber naona Meghan anavutia zaidi