Mwaliko wa Harry kwenda kwa familia ya William wapotezewa

Imasemekana alikuwa na mimba ya Dodi Ndio maana wakamuuwa
Alikuwa tayari kuiambia dunia kwa hasira
Waandishi walipowashutumu sana kwa mauwaji
Queen alitoka hadharani na kutoa karipia kubwa mpaka tukashangaa
Hivi hii kitu ya mimba ni serious hivoo?

Queen alitoa karipio gani mkuu?
 
Yaani kakivuruge
Kameharibu ndoa zao wote
Anaingilia sana mambo yao na kuwa boss sana
Mkali
Yule bibi anaonekana hadi usoni mkorofi, and very strong...

Hivi Diana humo ndani walikuwa hawamtesi kweli?

Na kwanini Charles hakumpenda Di?

Hivi Camilla kweli ndo wa kuvunja ndoa ya Chale? Huwa sipatagi majibu, na Mrs Bowles kadumu kweli mle[emoji848]
 
Hivi hii kitu ya mimba ni serious hivoo?

Queen alitoa karipio gani mkuu?

Alitoa onyo kwa wale wote wanaotoa habari za uongo na eti wao wana mkono mrefu watawafikia na waache mara moja

Na Kweli waliacha wote mara moja maana sio tabia yake kutoka hadharani na kutisha hivyo
 

Kama hata Sarah Ferguson alikosa amani akasalimu Amri na ndio mpole kuliko Di
Hapo unasemaje

Charles na Camilla walikuwa marafiki kabla ya Di Kwa hiyo Charles hakumuacha camilla waliendelea nae na akawa hamjali Di

Hapo Diana nae (unajua wanawake wanapenda sana sympathy [emoji253])
Hapo akamuhadithia matatizo yake Major Hewitt ambae alikuwa mwalimu wake wa Farasi

Major nae hakulaza damu akatafuna

Yaani naandika kama nilikuwepo vile [emoji23][emoji23](sitaki dhambi mimi) [emoji23][emoji23]
 
Huyu nahisi hata ndo alivuruga mapenzi ya Margaret na Townsend?

Malkia kama kiongozi Mkuu wa kanisa wakati huo wanajali sana dini
Hakuweza kukubali aolewe na mtu aliekuwa na mke na watoto wawili juu

Ila ya Charles mwanae akakubali
Unaona tofauti mmoja ni dada yake na mwingine ni mwanae na wote kesi moja ila kaegemea kwa mwanae
 
Alitoa onyo kwa wale wote wanaotoa habari za uongo na eti wao wana mkono mrefu watawafikia na waache mara moja

Na Kweli waliacha wote mara moja maana sio tabia yake kutoka hadharani na kutisha hivyo
Aliwachimba biti[emoji16][emoji16]...

M16 ingewahusu hawa paparazzi
 
Hehehehe mkuu uko jikoni kabisa usijali...hivi Harry si ni wa Hewitt, wamefanana balaa
 
Daah kweli asee....alimharibia mdogo wake na ndo maana akadumbukia kwenye ulevi wa kutupwa!

Anapiga tequila na roasted pork daily mpaka akapata stroke[emoji848]
 
Aliwachimba biti[emoji16][emoji16]...

M16 ingewahusu hawa paparazzi

Mkwara mmoja tu paparazzi wakawa mbali na majumba yao (Royals)
Mwanzo walikuwa wanapiga na kambi na kulala kabisa
Ila sasa wanasimama barabarani tu kupata picha za mbali [emoji23][emoji23]
 
Hehehehe mkuu uko jikoni kabisa usijali...hivi Harry si ni wa Hewitt, wamefanana balaa

Ila kweli wamefanana balaa
Ni damu yake
Naona Di alifanya makusudi kumkomoa Mama mkwe [emoji23][emoji23]
Sio mume tena
 
Daah kweli asee....alimharibia mdogo wake na ndo maana akadumbukia kwenye ulevi wa kutupwa!

Anapiga tequila na roasted pork daily mpaka akapata stroke[emoji848]

Sana masikini na fegi je
Mpaka umauti ukamkuta ila alisema mwili wake uchomwe moto

So sad
 

Baba yake Dodi (Mohamed Al Fayed )
Ilimuuma sana vile vifo vya mtoto wake na mpenzi wake Di

Ila mzee alikuwa haogopi mpaka wakamnyima na Uraia
Alimtukana Charles akamwambia hivi Umemuua Diana ili uoe MAMBA
Daa hilo tusi silisahau Hebu mwangalie Camilla [emoji23][emoji23]
Hii nimeikumbuka tu nabaki kucheka
Mzee Fayed kiboko
 
Harry atakuja kuwa shujaa wa historia mbeleni. Shujaa aliyekataa ubaguzi wa ubaguzi wa aina yoyote. A champion of diversity and inclusion.
 
Ila kweli wamefanana balaa
Ni damu yake
Naona Di alifanya makusudi kumkomoa Mama mkwe [emoji23][emoji23]
Sio mume tena
Hahahaha nahisi hata harry anaujua huu ukweli ...

Chalz alikuwa halali na mkewe sasa alitegemea Di ataponea wapi?
 
Hahahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16] eti mamba, si ule mdomo wa Camilla kama mla ugoro[emoji1787][emoji1787] yule bibi simpendi wallah...

Ila mzee Fayed wamemshindwa, hafichi vifo vyao asee, sijui kwanini hawajamuua hadi leo, mpaka na London kapakimbia..

Hivi ile Harrod's mall bado anaimiliki?
 
Mkwara mmoja tu paparazzi wakawa mbali na majumba yao (Royals)
Mwanzo walikuwa wanapiga na kambi na kulala kabisa
Ila sasa wanasimama barabarani tu kupata picha za mbali [emoji23][emoji23]
Mkuu huyo Major ndiye alikufa kwa ajali ya pikipiki?
Kuna yule mlinzi wa diana aliyekufa kwa ajali yenye utata ya pikipiki. Mke wake aliwahi taka hojiwa kuhusu hii habari aligoma kabisa kulizungumzia na anasikia alihama UK kabisa
 

Hahaha [emoji1787] Wa misri wana maneno sana kwa matusi tu

Eti mla ugoro wewe [emoji23][emoji23][emoji23] akusikie

Harrods baada ya Al Fayed kuona wanamuwekea bifu kila kona akaamua kuiuza
Unajua Harrods ni nembo ya UK na wanaita only [emoji3516] Harrods
Yaani wazungu wana roho mbaya eti Nembo ya Malkia akazira iondolewe na kila kitu kuhusu [emoji636] kama bendera zao

Harrods ilinunuliwa na ndugu wawili wa Qatar matajiri haswa ila kwa kujinyesha nao siku moja wakapaki gari zao 2 Bugatti Veyron kwenye double yellow line
Jamaa wakazifunga matairi kwa lock mpaka watoe faini AIBU

Ila mzee yuko vizuri hela anazo zile Ritz tatu London, Paris na NY za kwake na ile ya Paris ndio walikuwa wapo Dodi na Diana kabla ya kutoka na kuelekea kwenye Qasri kubwa la Mzee ambalo aliwaambia wakakae huko ila kabla hawajafika umauti ukawakuta


Pia Heliports zote zake anazimiliki yaani Helicopters zinapotua ziwe juu ya nyumba au wapi nasikia ni zake
Shahid Khan nae akanunua Fulham Football Club kutoka kwa Mzee Al Fayed
Mboga mboga zipo maana Shemeji yake Adnan Khashoggi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…