Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio nashangaa ww umejenga njianiDuuuh so SAD!!! Kweli Duni tunapita.
Pumzika fundi.
Daaaa.huyu jamaa alikuwa ni nguli wa uchambuzi wa michezo.halafu ile art yake ya uchambuzi ilinivuta hata kusikiliza hiyo TBC .Mchambuzi nguri wa soka hapa Tanzania mwalimu Alex Treojenusi kashasha amefariki dunia mchana huu katika hospital ya kairuki jijini dar es salaam alipo kuwa anakatwa matibabu
Mwalimu kashasha alikuwa mwalimu wa michezo katika vyuo mbalimbali na baadae akawa mchambuzi wa soka katika television ya taifa .
Mwalimu kashasha alikuwa anaunguruma katika kipindi Cha michezo Cha TBCFM
Kwa wale wanasoka watakuwa wanamtambua mwamba huyu wa kuchambua soka kwa weledi wa hali ya juu
R.I.P mwalimu wa michezo
USSRView attachment 1898153