TANZIA Mwalimu Alex Kashasha, mchambuzi nguli wa Soka afariki dunia

TANZIA Mwalimu Alex Kashasha, mchambuzi nguli wa Soka afariki dunia

images (2) (4).jpeg

Mchambuzi nguli wa soka Tanzania, Mwalimu Alex Kashasha amefariki dunia leo Agosti 19, 2021 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom