TANZIA Mwalimu Alex Kashasha, mchambuzi nguli wa Soka afariki dunia

TANZIA Mwalimu Alex Kashasha, mchambuzi nguli wa Soka afariki dunia

Mchana huu wa leo Tanzania imepata pigo kubwa kwa kuondokewa na mchambuzi wa mpira wa miguu ambaye ni mwanasayansi wa soka la Tanzania na Ulaya kwa ujumla mtalaam Alex Kashakasha , maarufu kwa jina Mwalimu Kashasha ametutoka mchana huu . Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali pema peponi Amina.

kk.jpg
 
Mchana huu wa leo Tanzania imepata pigo kubwa kwa kuondokewa na mchambuzi wa mpira wa miguu ambaye ni mwanasayansi wa soka la Tanzania na Ulaya kwa ujumla mtalaam Alex Kashakasha , maarufu kwa jina Mwalimu Kashasha ametutoka mchana huu . Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali pema peponi Amina.

View attachment 1898222
Pumzika kwa amani, Mwalim
 
Back
Top Bottom