Zeddicus zul Zorander
Senior Member
- Jun 11, 2016
- 165
- 249
RIP kashasha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani?
Mchambuzi nguli wa habari ya michezo maarufu kama mwalimu Kashasha amefariki dunia hivi punde alipokuwa amelazwa hospitali ya Kairuki.
Chanzo mimi mwenyewe niko eneo la tuki...
Alichoma? au kama kawaida yenu msiopenda chanjo kuzua umbeyaJohnson & Johnson at work!!!
Pumzika kwa amani, MwalimMchana huu wa leo Tanzania imepata pigo kubwa kwa kuondokewa na mchambuzi wa mpira wa miguu ambaye ni mwanasayansi wa soka la Tanzania na Ulaya kwa ujumla mtalaam Alex Kashakasha , maarufu kwa jina Mwalimu Kashasha ametutoka mchana huu . Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali pema peponi Amina.
View attachment 1898222