Mchambuzi nguri wa soka hapa Tanzania mwalimu Alex Treojenusi kashasha amefariki dunia mchana huu katika hospital ya kairuki jijini dar es salaam alipo kuwa anakatwa matibabu
Mwalimu kashasha alikuwa mwalimu wa michezo katika vyuo mbalimbali na baadae akawa mchambuzi wa soka katika television ya taifa .
Mwalimu kashasha alikuwa anaunguruma katika kipindi Cha michezo Cha TBCFM
Kwa wale wanasoka watakuwa wanamtambua mwamba huyu wa kuchambua soka kwa weledi wa hali ya juu
R.I.P mwalimu wa michezo
USSR
View attachment 1898153