TANZIA Mwalimu Alex Kashasha, mchambuzi nguli wa Soka afariki dunia

Tanzia: Mchambuzi nguli wa soka Tanzania, Mwalimu Alex Kashasha amefariki dunia leo Agosti 19, 2021 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam.
 
Daaaa.huyu jamaa alikuwa ni nguli wa uchambuzi wa michezo.halafu ile art yake ya uchambuzi ilinivuta hata kusikiliza hiyo TBC .
 
Huyu mzee alikuwa mtaalamu kabisa kwenye kuchambua masuala ya Kandanda..kwa mara ya kwanza nilimsikia akichambua TBC mwaka 2014 kombe la dunia.. R.I.P mzee kashasha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…