R.I.P mwl Kashasha,[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] hili pengo halizibiki
Sijui purpose ya kuja duniani hasa ni Nini,Maisha mafupi ajabu, ardhi inameza sana, sijui purpose ya kuja duniani hasa ni nini, mateso tu!
Pole kwa familia na wanamichezo!!
Kawaulize maraisi wa TFF siyo Kashasha,muache apumzike kwa amaniUkiondoa kuburudisha watazamaji na wasikilizaji, hivi huyu Kashasha kaleta mabadiliko kwenye soka hapa nchini?
Rip
kufanya matendo mema na kumsujudia mungu tuSijui purpose ya kuja duniani hasa ni Nini,
Nimeupenda huu mstari mkuu.
muda wa kuifata chanjo sasa, jmosi raia tutajaa taifaCorona ipo sana dunia yote hasa hivi ”virusi Delta ” vinasambaa kwa kasi na vinaua kweli kweli.
Ubarikiwe mkuukufanya matendo mema na kumsujudia mungu tu
Yaani wewe hua una negative thinking tu! Hivi una matatizo gani?Ukiondoa kuburudisha watazamaji na wasikilizaji, hivi huyu Kashasha kaleta mabadiliko kwenye soka hapa nchini?
Rip
ameenUbarikiwe mkuu
TichaaaDah Mwalimu wetu TTC Korogwe
Alazwe Mahali pema peponi.
😆Yaani wewe hua una negative thinking tu! Hivi una matatizo gani?
Unauliza swali kisha umejijibu humo humo wewe mwenyewe!